Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fadlu hajui boli anabahtisha tu, alinishangaza game iliyopita kumuingiza mutale kwenye game ngumu kama ile.SUB za Fadlu huwa zinafikirisha sana, team imekosa balance katikati na muda wowote goli likirudi haki.
Chamou anachezaje Fullback ikiwa Zimbwe hajaumia.? Kagoma ana kadi moja ya njano hapo kati na sasa anakaba kwa machale ila bado kang'ang'ana nae.
Hatari mno.Simba INA maadui wengi 😭 fikiria Leo inacheza dhidi ya timu ngapi?
90Kwani dak ya ngapi sasa?
Jamaa wanacheza zaidi ya vita, wanakwatua tu.Nimesema kuna mtu na kampuni yake wanatiharibia ligi, akipuuzwa hii ligi itaporomoka.
Kwamba Mutale hakustahili kuingia!? Punguza ujuaji, au nenda kwenye benchi ukapange team yako! Mtu huna hata abc ya ukocha ila ujuaji kibao!!!!Fadlu hajui boli anabahtisha tu, alinishangaza game iliyopita kumuingiza mutale kwenye game ngumu kama ile.
Du, mnyang'a nye filimbi huyoHuyu lawi mngese sass hapo kibu kadondoka mwenyewe
Anaingia AtebaDakika za jionii 😃
Hakustahili kabisa, hakuna mchezaji mule, hakuna kituKwamba Mutale hakustahili kuingia!? Punguza ujuaji, au nenda kwenye benchi ukapange team yako! Mtu huna hata abc ya ukocha ila ujuaji kibao!!!!