kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Utopolo mzunguko wa Kwanza alidundwa isipokuwa Kayoko alihamisha matokeo kilichofwata akafungiwa..!Kama unaweza ukikutana na huyo utopolo mpige
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utopolo mzunguko wa Kwanza alidundwa isipokuwa Kayoko alihamisha matokeo kilichofwata akafungiwa..!Kama unaweza ukikutana na huyo utopolo mpige
Alidundwa goli alifunga nani? Upande wa simbaUtopolo mzunguko wa Kwanza alidundwa isipokuwa Kayoko alihamisha matokeo kilichofwata akafungiwa..!
Uto wamenuna ila hawawezi kubadili matokeo hata wakilia na kukoroma...Pumbavuu yalitegemea singida ndio iwape furaha, mnyama anaingia mwaka 2025 akiongoza ligi, na kumaliza round ya kwanza ya ligi akiwa na points 40
Hamza ana stahili kuanza na Job NT kwa sasaUtulivu wa hali ya Juu beki Hamza
Astaghfirullah!Chawote mda huu
View attachment 3187168
Ila kwa mechii ilibidi zisipungue dk 5 za nyongeza90' Zimeisha , nyongeza 3
Sio mzima weweMpira wa kutengwa hauna assist mzee
Malalamiko wamerithi kutoka kwa wazazi wao ChuraMetacha krosi hazijawahi kumuacha salama, halafu hawa Singida wako nyumbani badala ya kucheza Mpira muda wote ni kulalamika tu.
Pressure anapata shabiki ya UTO. Maajabu ya dunia 😂Deus Elias MPANZU Kaseke
Mechi 3
Goal 0
Assist 0
Chance Created 0
Mikimbio 100Km
Kesho utanuna weweUto wamenuna ila hawawezi kubadili matokeo hata wakilia na kukoroma...
Mnyama ako na points 40 kibindoni.
Kama wewe kwa dubePressure anapata shabiki ya UTO. Maajabu ya dunia 😂
Usianze kulazimisha unachotaka weweDeus Elias MPANZU Kaseke
Mechi 3
Goal 0
Assist 0
Chance Created 0
Mikimbio 100Km
Hayakuhusu, iombee timu yako ishinde kesho izidi kujihakikishia nafasi pili.Deus Elias MPANZU Kaseke
Mechi 3
Goal 0
Assist 0
Chance Created 0
Mikimbio 100Km
Natunza risiti zakoHayakuhusu, iombee timu yako ishinde kesho izidi kujihakikishia nafasi pili.