Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akileta takwimu mwambie aambatanishe na namba zake za simu nimtumie bando la mweziAcheni porojo, mtu ndio kwanza ameanza mmeanza kumuwekea takwimu, tupe na takwimu za kina Mzize, Musonda, Dube na Aziz wakiwa na idadi ya mechi hizo
Nyie mliwafunga ngapi Hawa ndugu zenu 😀😀Leo tumeshinda kamoja kama kawaida yetu na dakika 3 zimeongezwa wala hakuna lawama kwa waamuzi. Hakuna tena hujuma za 50m kutoka kwa KIGOGO asiye na jina. 😂
Leo zingeanzishwa nyuzi 20 kuhusiana na goli. Timu inawekewa wasaidizi 8 kwenye ligi unategemea itafanya Vizuri Kimataifa ambalo hakuna GSM?.Ingekuwa wamenyimwa wale wazee wastaafu wangekuwa wameshafika FIFA kupeleka malalamiko.
Sisi Simba hatunaga ujinga kama wa wanufaika wa TASAF
Kwa huu uchezaji wenu hamuna safari ndefu.Yale mamwiko nyuma yana wivuuu...yani yatakua yameumia sana..
Simba kwa sas ni mwendo wa kutoa doze tuu...
Inaitwa UTATOA HUTOIIIII UTATOA HUTOOIIII
Msimu wa mwaka jana Yanga ilicheza robo fainali,je iliwezaje kucheza!?Leo zingeanzishwa nyuzi 20 kuhusiana na goli. Timu inawekewa wasaidizi 8 kwenye ligi unategemea itafanya Vizuri Kimataifa ambalo hakuna GSM?.
Hawana safari ndefu tupo hapa.Wanachoka mapema sana
kama safari nyie mnayo nendeni ..nakwambia mtaishia hapo njiani walaiKwa huu uchezaji wenu hamuna safari ndefu.
Ufasubiria sana....Hawana safari ndefu tupo hapa.
Hapo juu nawapa mechi nne zijazo wanashuka.
Yamekua kama mazuzu...Leo zingeanzishwa nyuzi 20 kuhusiana na goli. Timu inawekewa wasaidizi 8 kwenye ligi unategemea itafanya Vizuri Kimataifa ambalo hakuna GSM?.
Hawana cha kuandika ama kuanzisha nyuzi maana refa kawasaidia....Leo zingeanzishwa nyuzi 20 kuhusiana na goli. Timu inawekewa wasaidizi 8 kwenye ligi unategemea itafanya Vizuri Kimataifa ambalo hakuna GSM?.