Hatuna Kipa.
Hakuna kitu hapo. Huyo dogo sijawahi kumuelewaKipa kiazi
Muda naye si yumo ndani anacheza tuwape Muda gani..... Kituuuuuu...... Wapigwe tu hakuna namna.Kibu, Mzize na Samata.
Wanajaribu sana.
Tuwape Muda.
Ndiyo,amejufunga Tena muda huu.Hivi yule aliyejifunga yumo?
Kipa kufanyaje wakati mpira umedunda?Hatuna Kipa.
Useless
Limepatikana ila wamepata wao .. . Sisi tujipange tu kuiba kura ....Goli litapatikana dakika za majeruhi.
Pumbavu michadema ni hovyo sana ndio maana mnatekwaBana Congo njooni huku, wamepigwa tena.
Guinea anamfunga ethiopia anakaa juu yetu,akija dar anatafuta droo,imeisha... kocha hamna humo,kazi kulinda na kutoita wachezaji diaspora,majungu majungu tuNilikwambia hata sare yenyewe kupata ni mbinde haya Sasa