Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombe Mungu nini tena wakati tumeshafuzu, we jamaa vp..?Tu9mbe Mungu, soka ni mchezo wa kikatili sana
Nimetoka kwenye screen.
Hahahahahaha. Wewe jamaa huendi mbinguni hahahahahahMko nyuma ya muda Guinea anapewa penati hapa
Anacheza namba ngapiHongera mama Kwa ushindi wa Stazi
DuhHii mechi tunashinda 1-0 au 2-1
Hii mechi tunashinda 1-0 au 2-1
SawaPongezi hizi za ushindi wa Taifa Stars 2-0 dhidi ya Guinea ni maalumu kwa Rais Dkt.
Lucas anakuja na mapipa ya machozi kumpongeza MamaHongera mama Kwa ushindi wa Stazi