Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Tusipokuwa makini, wanasawazisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
75’ Tanzania 1-0 GuineaDakika ya ngapi huko kwenye Redio?
Msuva,dk ya 68Nani kafunga ? Dk ya ngapi? Nipo porini kwenye madini
Muda si mrefuTusipokuwa makini, wanasawazisha.
Omba goli lirudi wakase hela walizoahidiwa hahahaTunamshukutu mamaa dr Samia Suluhu Hassan Rais wa jamuhuri ya Tanzania kuiwezesha Taifa starz kufuzu afcon.
Hizi kauli zitakuwa nyingi sana kama staz watafanikiwa kufuzu kwa fainali za afcon january.
tushinde au tusishinde, nadhani moroko atakuwa amejua makosa yake ya kumpiga chini msuva kwenye mechi ile. hatukutakiwa kuumiza mioyo leo. siku nyingine ajifunze kupokea ushauri na aache kiburi.Its match day!!
Ni Tanzania Vs Guinea katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia Saa 10:00 Jioni.
Ni mchezo wa kufuzu AFCON ya mwaka 2025 pale Morocco ambapo kundi H Taifa Stars inahitaji ushindi wa namna yoyote ili ifuzu wakati Guinea wao wakihitaji ushindi au droo ili waweze kufuzu.
Saa 10:00 jioni kupitia Azam Sports 1HD, DStv pia kupitia Chaneli 225.
Mliopo Dar muende kwa wingi uwanjani, Kiingilio Bure.
Live updates zitakujia hapa..
Mpira umeanza ikiwa dakika 3
Dakika, 5 Taifa Stars wametengeneza nafasi nzuri sana hapa
Dakika, 10 Taifa stars wamendelea kutengeneza mashambulizi mengi bado kupata goli tu!
Dakika, 11 Saimon Msuva anakosa goli la wazi kabisa!
Dakika, 16 Stars wanafanya shambulizi kali sana ila Mussa Camara anadaka mpira huo!
Dakika, 20 Bado milango yote ni migumu kwa timu zote mbili.
Dakika, 35 si Stars wa Guinea ambaye amepata goli hadi sasa.
Dakika, 40 Guinea wanakosa kutumia nafasi ya wazi kufunga goli.
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimekamilika Taifa Stars 0 - 0 Guinea
Pongezi hizi ni maalumu kwa Rais Dkt.Muda si mrefu
Kwamba mkuu nyuki ndo tumechokoza au!?Muda si mrefu
mambo ni mengi kuyaorodhesha hapa server za jf zitapasuka kwa machozi ya furahaNimeuliza kivipi?
Unauliza ubishi kigoma?Kwamba mkuu nyuki ndo tumechokoza au!?
Watanzania huwa tunashindwa kulinda ushindi.Muda wa kushikilia bomba
Ushakuwa lijinga sana mkkuu🤣Sisi Ghayos Gang kwa niaba ya mkuu wetu Maghayo The Madog tunaipongeza serikali ya JMT ikiongozwa na Rais Samia kwa ushindi huu
Cc : Scumbag The Mongolian Savage
Ni nzuri ila si nzuri saana kama hamna maelewano hapo mlipopack,inaweza kua WRONG PACKING 🤔Taifa Stars wamerudi wote nyuma wataalam ndio mnaita “Low Block” huku uswahilini tunasema kupaki basi