Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Asante kwa ku reportCookie muanzisha uzi mpaka sasa hajatuekea vikosi vinavyoanza
Ramsey Noah kwenye movie ya Devil kingdom anasema imekuja mwenyewe Sina makosaa....ndo makolo sasaaπ€£π€£tuliwashauli wasijee.
Raha ya ushabiki ni kuikubali hali, kukubali kejeli na zaidi ya yote kukejeli wapinzani.π€£π€£π€£nina wasiwasi mtatufunga mpk tuseme ndo maana najifanya sio shabiki lia lia
Mhasibu nani anawahujumu sasa? Au GSM kawapangia kikosi?Mzamiru na Kapombe mpaka hapo Simba tumeshafungwa. Hizi ndio hujuma zenyewe
Bora kwa Mzamiru hapo kama hao viungo wengine watakuwa vizuri, ila kwa Kapombe ni ujinga uliopitiliza. Game nyingi sana huyo jamaa ni kichochoro sikuhizi, sijui nini huwa kinafanya aaminike kwa kiwango hicho.Mzamiru na Kapombe mpaka hapo Simba tumeshafungwa. Hizi ndio hujuma zenyewe
Acha ataliaπππMhasibu nani anawahujumu sasa? Au GSM kawapangia kikosi?
Kuna lingine lakini kabla atujahitimisha,,Bora kwa Mzamiru hapo kama hao viungo wengine watakuwa vizuri, ila kwa Kapombe ni ujinga uliopitiliza. Game nyingi sana huyo jamaa ni kichochoro sikuhizi, sijui nini huwa kinafanya aaminike kwa kiwango hicho.
Tangu ile game dhidi ya Ahly pale kwa Mkapa nilimshusha sana viwango Kapombe,Ali Maaloul alikuwa anamkokota anavyotaka na magoli yalipita kwake.
Live mzee huyu kapombe ni uchochoro tosha bola nicheze zangu ps kuliko kuangalia huu upumbavuBora kwa Mzamiru hapo kama hao viungo wengine watakuwa vizuri, ila kwa Kapombe ni ujinga uliopitiliza. Game nyingi sana huyo jamaa ni kichochoro sikuhizi, sijui nini huwa kinafanya aaminike kwa kiwango hicho.
Tangu ile game dhidi ya Ahly pale kwa Mkapa nilimshusha sana viwango Kapombe,Ali Maaloul alikuwa anamkokota anavyotaka na magoli yalipita kwake.
Kama mnajieka nyuma si tufanyeje. π πWana πΈ Wana matumaini makubwa sana.
Kwani we huogopi?Ubaya ubwela
Mpira kwa huko ni saa ngapTukutane saa 3! Acha wenge
SawasawaRaha ya ushabiki ni kuikubali hali, kukubali kejeli na zaidi ya yote kukejeli wapinzani.
Hakuna lingine lakin kabla yatukioLive mzee huyu kapombe ni uchochoro tosha bola nicheze zangu ps kuliko kuangalia huu upumbavu
msianze kutafuta sababu na visingizio tafadhali, hakuna cha kichochoro wala cha kichururu..!!ππBora kwa Mzamiru hapo kama hao viungo wengine watakuwa vizuri, ila kwa Kapombe ni ujinga uliopitiliza. Game nyingi sana huyo jamaa ni kichochoro sikuhizi, sijui nini huwa kinafanya aaminike kwa kiwango hicho.
Tangu ile game dhidi ya Ahly pale kwa Mkapa nilimshusha sana viwango Kapombe,Ali Maaloul alikuwa anamkokota anavyotaka na magoli yalipita kwake.
Wewe upo upande upi ?Sawasawa