Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majamaa hawajiamini kabisa. 🤣🤣Kuna lingine lakini kabla atujahitimisha,,
Darasa la uchawi ulianza kuhudhuria lini bila mimi kujua.?[emoji3][emoji3]msianze kutafuta sababu na visingizio tafadhali, hakuna cha kichochoro wala cha kichururu..!![emoji23][emoji23]
Naona unajitekenya nakucheka ase ngoja tuje wakunajiVyura wanapiga kelele huku mioyo yao ikidunda. 😀 😀 😀
Koh koh mdogo wangu naomba maji hebu. 🤣🤣🤣msianze kutafuta sababu na visingizio tafadhali, hakuna cha kichochoro wala cha kichururu..!!😂😂
Nitakupa ushahidi.Hakuna mtu analindwa mkuu, kuwa na amani
By the way ile nickname uliyosema tukubadilishie ina mtu tayari, chagua nyingine. Tupo nyuma ya muda mpaka sasa
Lipia AzamTv maxKuna mtu yeyote mwenye link ya ku stream live hii mechi? Au app inayo stream hii derby. Please naomba msaada
Yani mzamiru anaanzaje mbele ya ngoma na okjepha, huko kote mbali, hata yule kagoma tu mzamiru hamfikii kwa sasa.
Halafu mjanja sana yule jamaa alishajihami kwa kuanzisha uzi eti baada ya saa tatu asipopatikana basi tujue alipo mtandao unasumbua. 🤣🤣🤣Tunaasogeza Makombora yetu karibu na Uzi wa Kihasibu halafu nyuzi za Popoma tutaipiga kwa Makombora ya masafa marefu zote kwa pamoja