makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Baada ya dk ya 10 mpaka sasa hivi ya 18, mzamiru kajitahidi kiasi, kagusa mpira mara kadhaa, kapoteza chache, kapora mipira kama miwili hivi.Mpaka dk hii ya 10 kiungo mzamiru kagusa mpira mara 1 tu anajificha ficha tu migongoni mwa maadui ni kama hautaki mpira vile π€£π
Wataje tuwajueWachezaji wametoka likizo wamenenepajeeeeeπͺπͺπππ€π€π€π€!
Hatari sanaaaa
Cc Smart911
Paziaaingie Mshery
Hakika kaka.Nimefurahi kuona uwepo wako Hapa jamvini.π€£π€£π€£π€£Simba nguvu MojaπSIMBA atabaki kuwa SIMBAβ€β€β€
Namanyere?Tanesco washamba sana
Vitoto vya 2000
Kwenye swala la kuacha gape kubwa hebu mzingatie Kapombe pia, ujionee maajabu yake.Hernandez Debrah na Mzamiru wanaacha gape kubwa sana
Itakuwa luku tazama vizuriTanesco washamba sana
Dalili zipoje mkuu?Upande wa Balua na Kapombe bado haujaonyesha faida yeyote.