Jadili wewe na wenzakoBadala mjadili namna ya kuikomboa hii nchi kutoka kwa mafedhuli, nyie mnajadili hayo matakataka yenu ya kariakoo
Em toka hapaNenda kapete mchele
NibebeKinaendelea nn
Mana nmesikia kelele mara 2 nashangaa ubao unasoma 1
Izi mambo hatutaki[emoji23][emoji23]Kocha wa simba nimsenge balua amezingua muda mreefu yeye kamuacha
Ubwela wamebebwa refa kakataa bao la piliKinaendelea nn
Mana nmesikia kelele mara 2 nashangaa ubao unasoma 1
Kijana mdogo kumiliki simu na vocher ya 500 .kusi kufanye upayuke ovyoUnaumizwa na mwiko huko nyuma unakuja kutulilia magoli
Mkojolee Mwashambwa pambafu kabisa.Mkojo umenibana! Siendi hadi Tuongeze goli la pili
dogo tizama mpira usinilete utotoJiangalie sana mkuu
Wapo vizuri nawaona😹Naipenda simba asee, pokea usipokee ila simba mpka sasa wana mwelekeo mkubwa.
ngumu sanaNaona matuta😜
Mnataka na magolibya offside?Ubwela wamebebwa refa kakataa bao la pili
Acha bhangii mfwiiiiKona Goli
Mda badoYanga wanastahili kushinda.
Ila kikosi chetu kinakuja vizuri.