Huwa najiuliza hii id ni nani huyuuπ€π€π€¨!Umbwa sana
ππ€£πππππππBasi baada ya kung'atwa na samaki wakukaangwa kila mmoja anataka ashike headline.
Naunga mkono hoja mtaniLeo ndo nimekaa nikaangalia mpira wa simba na Yanga vzr...itoshe kusema tuu kwamba Simba ipo motooo...na Yanga wapo moto sio mbaya ila leo ni kama walipoa...
au nadanganya ndugi wachwambuzi...
Cc Labani og and Vincenzo Jr
Naunga mkono hoja.Mi nilipocheki kipindi cha kwanza tu nikasema hii ni timu.
Hapo bado wachezaji hawajapata muunganiko, matokeo ya hii mechi wala sio kitu ambacho naweza kujilaumu.
Na hii inaenda kuwa kama msimu uliopita, japo Gongowazi tuliwafunga lakini wao waliridhika kutokana na kile ambacho timu yao ilikionesha.
Tuipe muda timu kuna mengi mazuri yanakuja.
NakuchukiaHuwa najiuliza hii id ni nani huyuuπ€π€π€¨!
Poleni sana wana 5imba
Ambieni dogo zenyu jumapili tutawanyoosha
Usiku mwema
Mrare unono wanayangaπππππ€π€π₯π₯π₯π₯π₯π₯π€π€π€π€π€π€π€π΄π΄π΄π΄π΄
πΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈ
Cc Smart911
MkuuNaunga mkono hoja mtani
Afu Toka jana sijui hii forums imepata shida ganiAisee mbona mi msg inajirudia rudia nini hiki
KwemaMkuu
Halafu baadae mnawasajili.Sasa nitafute Mganga wa nini wakati Kolo mnajaza Wachezaji wasio na tija π€£π€£π€£π€£