Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Kama ww hujaiona Simba na kuiogopa basi nakupa pole sana...
Maana yajayo yanafurahisha...
Asanteni Watani zangu...mmewaimarisha wachezaji wetu kuanzia sasa comfindence watakua nayo kuwakabili...
Muwe na usiku mwema...
kwny ngao ya jamii nitawashabikia[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji846][emoji846][emoji846][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
AfatweeeeMashabiki wa Yanga tunamfuata mke wa mwijaku au anakujaa mwenyeweeeeee kwa Ally Kamwe?
Naam lilikua n Goli halaliIla goli la Aziz k refa wa pembeni kazingua
Huyu mpeni pacome na nzengeli wampige mande.Mashabiki wa Yanga tunamfuata mke wa mwijaku au anakujaa mwenyeweeeeee kwa Ally Kamwe?
Kamchukueni tena muanze n yeye kwanza ale mbata za kutosha..mke sio kitu cha kufanyia mizahaMashabiki wa Yanga tunamfuata mke wa mwijaku au anakujaa mwenyeweeeeee kwa Ally Kamwe?
Kabisa naunga mkono hojaNaam lilikua n Goli halali
Neno "umbwa" "takataka"Nakuchukia
Mmekufa kiumeWana simba acheni ujinga kabisa wa kuiponda timu tuko kwny raiti traki...
Ndo zile karma ndogo ndogo za ligi kuu ndo huwa zinalipwa kwa njia hizi mtani...so relaaaxKabisa naunga mkono hoja
Hatujafa tumeimarika....wwmzeeMme
Mmekufa kiume
Sasa mmecheza kutafta nini si mngesubiri muungane?Ushindi wa kinyonge sana huo,
Almost wachezaji wetu wote wageni
Subiri wapate muunganiko.
Hongera mtani umeshinda lakini kwa taabu sana
Na refa awe huyohuyoKwa kikosi kile cha Simba next match ya derby uto mtakoma
Acheni wivu...yani kagoli kamoja ndo msahaau mtiti mliopata dimbani?N.B.. Ligi ikianza mumwambie kabisa kocha wenu ..kuna viwanja kama sokoine huko au jamhuri dodoma .. Viwanja vya kazi.. Msimu huu hatutaki vizingizio ..
ooh timu haijaunganika..sasa "kwa farao" mlienda talii? Cc ephen_ πππππππππππππ
To talk frankly simba leo imecheza na imeimarika.
Itaonesha upinzani sana katika ligi tuache utani.
Angalau imejitahidi kufanya usajili.