Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Agiza kinywaji mtani nikulipie maana siku nyingi sana hatujachati π€Mpuuzi na wewe...πππ
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Agiza kinywaji mtani nikulipie maana siku nyingi sana hatujachati π€Mpuuzi na wewe...πππ
Mjinga yule,alikua anaipunguza Yanga kasi na kupanikisha wachezaji,yule kocha msaidizi akawaambia wachezaji wacheze mpira,ila dhumuni la heri sasi leo kutoa red card kwa YangaRefa Leo kapuyanga
HakikaAzam ni tawi la simba... hata Timu ya tajiri ikicheza na Yanga wanakamia haswaa
Mke mkubwa tumemalizana nae Bado mke mdogo.Nyie uto leo mnalia sana kuhusu offsides...ni kwa sbb kiwango chenu kilishuka...kimeshushwa yani kwa lugha nyingine na wajuba kina Debora...πππππππππππππππππππ
Weweee,ngoja nitoke hapa minazini kuna kelele nyingiToka kwenye kelele nikupigie
Naunga mkono hoja ni mpuuzi sanaMjinga yule,alikua anaipunguza Yanga kasi na kupanikisha wachezaji,yule kocha msaidizi akawaambia wachezaji wacheze mpira,ila dhumuni la heri sasi leo kutoa red card kwa Yanga
Ila goli la Aziz k refa wa pembeni kazingua
Ilikua offside mkonowote wa Aziz Ki ulikua mbele....angalia replay utaona japo ni "very tight" offsideYa aziz aikua clear penalty,halafu offside gani zile!
Sio kweli kibendera kafeliIlikua offside mkonowote wa Aziz Ki ulikua mbele....angalia replay utaona japo ni "very tight" offside
Unajua mpira mkuuKama sio waamuzi. eo tungeaibika kwa magoli mengi tena
Upo sahihiKama sio waamuzi. eo tungeaibika kwa magoli mengi tena
Unajua boliKama sio waamuzi. eo tungeaibika kwa magoli mengi tena
Hata shule hazifungwi kila siku bwan looohNyie uto leo mnalia sana kuhusu offsides...ni kwa sbb kiwango chenu kilishuka...kimeshushwa yani kwa lugha nyingine na wajuba kina Debora...πππππππππππππππππππ