GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama Mwanamichezo Tukuka nichukue nafasi hii Kuzitakia Kila la Kheri Timu zote tajwa hapa na Mchezo Mwema pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani atamkaba Pacome na nani atamkaba Aziz Ki?? Mamelodi wakishindwa kumkaba Aziz Ki ataweza Kapombe?Kaka,Weka haya meneno, Chama hataweza kucheza sababu ya bullying atapata game shake. Baleke sio Striker wa kumuhofia wala dube, Tunakaba Pacome tu na Azizi mechi tumemliza
😀😀😀Kama Mwanamichezo Tukuka nichukue nafasi hii Kuzitakia Kila la Kheri Timu zote tajwa hapa na Mchezo Mwema pia.
Mechi itaanza saa moja usikuMpira utacgezwa saa ngapi wakuu?
Mechi ya mapema, nadhani saa kumi jionikwani coastal union na azam wanacheza lini mbona sioni wakizungumziwa au wao hawachezi mpira wa miguu...😅
Tukiyapiga nitafurahi sana kea Mara nyingineSafi sana baadae mtani wangu hauchomoki nakupiga 5 ukipishana na Mimi umekwisha hauchomoki
Yellow national 💚💛
💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛
Kila la kheri timu yangu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara baadae nakupiga kama ngoma
Cc ephen_ View attachment 3064194
Atapiga kwa Hamisa tu 😂😂View attachment 3064196
Kesho lazima apige kwenye mshono 💚💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛 Kila la kheri Yanga SC yellow national Cc ephen_
Ahsante sana mzee wa Hall 5. sumbai Leo ushindi tu. Yanga daima mbele, nyuma mwiko 💪💚💛. Ukiona bendera kubwa juu, kwenye tako la nyani jua nimimi. Nina fujo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kila la kheri yanga timu ya mrembo Bantu Lady na ya Jirani Shadeeya
Kila la kheri Simba timu ya ephen_ timu yenye wadada wazuri wote Tanzania
Litaje, usije ukawa upo kote kote, likifa hili upo, likifa lile upo na kauli zenu zile za nilijuwa tu..!! Sema jitu la SANDA FC linakufa leo mapemaaa..!!!yaishe mkuu, tukutane baada ya jitu kufa
nakaziaLitaje, usije ukawa upo kote kote, likifa hili upo, likifa lile upo na kauli zenu zile za nilijuwa tu..!! Sema jitu la SANDA FC linakufa leo mapemaaa..!!!
Kabisa yaani.Isiku wa deni haukawii kucha...
Umewahiwa na mod🤣Match Day.
Simba SC vs Yanga SC
🛡️ Community Sheald Semi-Final
🏟️ Benjamin Mkapa Stadium
⏰ 7pm
Moderator anatupandia kwa juu 🤣🤣Umewahiwa na mod🤣