πTunakukuta wapi mkuu
Toa location visu tumenoa
Mkuu samahani lakini me nataka uwe nyumbandogo wangu unasemajeVincenzo Jr ..@ephen jukwaa lenu...furahieni goli lenu mpk kucheee....ngoja tulinde ...usiku mwema
Neno "umbwa" "takataka"
Jumapili dogo zenyuuu tutawanyoosha kam kauwaaaaaa πππ€πͺπͺπΊπΊπΊπΊ
Nilikuepo
Kesho nayo siku πΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπ΄π΄π€π€π€π€π€π€π€π€
Cc Smart911
KabisaWee mtani Vincenzo Jr...kumbe na hii ngao ina mshindi wa 3....kweli Yanga mboga mboga...
Mimi pia timu yangu ikifungwa huwa nachukia na kupata hasira kidogo kwa muda usiozidi dakika mbili tu !Kwangu mpira ni burudani zaidi kuliko ushabiki..
Hivyo sahau kugombana kisa boli.
Wabongo wengi ni bendera fuata upepo !Haya ndiyo mambo wabongo tunajuwa kufatilia na kuchambua
Watu wanajitoa hasa
Ova
Mimi pia timu yangu ikifungwa huwa nachukia na kupata hasira kidogo kwa muda usiozidi dakika mbili tu !
Kisha nasema this is football and football is a game of chance !
Kwisha habari yake π€£ππ
π³π
Tumewapiga cha nanePiga simba hao
Acha hizo mkuuNilikwambia huyo atakimbia huyo Itakuwa kapotea taifa
Umerudi baada ya kupoteaAcha hizo mkuu
Walileta dharauTulivyowaambia lile neno SANDA ni nuksi hamkutusikia, haya sasa ngoja tufanye mazishi
Simwoni ephenUmerudi baada ya kupotea
Na wapigwe tu iwe ligi, iwe F.A Yanga anapeta tuTumewapiga cha nane