- Aug 6, 2009
- 2,190
- 1,095
Ahadi yako tumeipokeaBasi sawa kumbe na wewe hujui kitu sasa.
Anyway kesi ya nyani......
🤣🤣🤣🤣.
Nina imani na Simba.
Sisi tunanguvu!!
Ahadi yangu. Utopolo wakishinda hii game niitwe farida, nimekaa pale!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahadi yako tumeipokeaBasi sawa kumbe na wewe hujui kitu sasa.
Anyway kesi ya nyani......
🤣🤣🤣🤣.
Nina imani na Simba.
Sisi tunanguvu!!
Ahadi yangu. Utopolo wakishinda hii game niitwe farida, nimekaa pale!!
Mi nikishasema Tangu mwanzo Mzikate ✂️Mkazitupe Mto msimbazi 🤣🤣 kama yanga wakitufunga Goli kuanzia TatuHii sio mara ya kwanza kulalamika kuhusu hili
Last time aliyewahi ni kiwatengu lakini uzi wake mkauonganisha kwa huyu jamaa
Hatoi updates za uzi kwanini mnampendelee yeye kila siku na nyuzi zake?🤔
Wewe timu gani kwanza??
Daktari nipe location cz nina uhakika saa 3 nitakuja kukukata mbupu hizo🙌Mi nikishasema Tangu mwanzo Mzikate ✂️Mkazitupe Mto msimbazi 🤣🤣 kama yanga wakitufunga Goli kuanzia Tatu
Tena Moderator Jina lake Mlibadili kabisa Liitwe hivyo Tangu leoAhadi yako tumeipokea
Anatakiwa kutoa updates, asipotoa updates tujulisheHii sio mara ya kwanza kulalamika kuhusu hili
Last time aliyewahi ni kiwatengu lakini uzi wake mkauonganisha kwa huyu jamaa
Hatoi updates za uzi kwanini mnampendelee yeye kila siku na nyuzi zake?🤔
Wewe timu gani kwanza??
😀😀 sasa Nikikupa Location wewe Badala ya Kuzikata Si kitatokea Kitu kingine 😅😅😅Daktari nipe location cz nina uhakika saa 3 nitakuja kukukata mbupu hizo🙌
Nitakuita asipotoa updateAnatakiwa kutoa updates, asipotoa updates tujulishe
Mimi timu gani? Subili mpira uishe utajua mimi ni timu gani
Una masikhara sanaa..!😂😀😀 sasa Nikikupa Location wewe Badala ya Kuzikata Si kitatokea Kitu kingine 😅😅😅
Njoo uchukue hapa 😅😅 Getini 😅😅Nipe ticket nikakae kule VVIP, [emoji23][emoji23]
😅😅Una masikhara sanaa..!😂
Subili mpira uishe utajua tuuNitakuita asipotoa update
Hujiamini na timu yako bila shaka ni kolo
Subili❌Subili mpira uishe utajua tuu
Leo ndio leo
Siku hizi tembea na cashless au cash ya kutosha,popote unamuimbisha,unaenda maliza show.Mboga kama zote hapa taifa.
Ubaya UbwelaKila la heri Mnyama 🦁🦁