min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Itakusaidia nini mkuu?HALF TIME
YANGA 1 SIMBA 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakusaidia nini mkuu?HALF TIME
YANGA 1 SIMBA 0
***** mmeanzaHii game akirudi Kapombe nitaamini hatuko serious.!
Kumbe umeliona mkuu!?Max anatatizo la Maumuzi mabovu ya mwisho na ubinafsi nimeshuhudia kwenye mechi nyingi tu.
Eneo la katikati ukishashikwa no way kutoboaKaka nisikilize mimi, pale kiungo tumekatika sana.
😂😂Leo hatutapokelewa simu mahi wangu 🤣🤣
We mbuzi umeanza.Wachezaji wa Simba wameacha kucheza nao wanatazama kama sisi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Acha kujichekesha hapa 😬
Nimesema goli tatu..Andaa mbupu hizooooo☺️
"Ikifika saa tatu fafadhali tusikimbiane humu" by PopomaHakika na second half ndo tunakuwaga wabaya zaidi.
JidanganyeHapo bado baadae mtakimbia nyinyi timu hamna
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tunamshukuru Mungu ni moja.
Acha turudi 2nd half.
Ila Kapombe ni mchawi. Hivi makocha wanaonaga nini? Ni haya haya nimacho tuliyonayo sisi????
Usengerema mtupu...
Balua naye game imemzidi uwezo.
hawa jamaa ilikua washakula 3Kumbe umeliona mkuu!?
Yani anakera muda mwingine,kuna magoli mawili yamekosekanika kwa ubinafsi wake.
Nakubali kakaKaka nisikilize mimi, pale kiungo tumekatika sana.
Tatizo watu kama akina ephen_ hawawezi kukuelewaHuko mbeleni yajayo yanafurahisha. Simba inahitaji muda tu. Kwa wiki nne walizokaa pamoja na wanachofanya uwanjani Simba ni![]()