ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Siwezi kuangalia mpira made in bungesiliga huku na chatNdio mida yako hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kuangalia mpira made in bungesiliga huku na chatNdio mida yako hii
dakika za nyongeza ndio penati huwa hazitolewi eti.....umecheza mpira wa wapi😀😀Dakika zilishaisha
HakikaaSimba siwadai wachezaji wote na benchi zima la ufundi...yani mmekiwasha vile hatarii pira lipoo...
Yajayo yanafurahisha
Mtoto mdogo huyu, hasumbui ubongo.Gombana nae mkuu huyu ni mshabiki maandazi.
Kwakweli mmejitahidi kufungwa mojaSimba siwadai wachezaji wote na benchi zima la ufundi...yani mmekiwasha vile hatarii pira lipoo...
Yajayo yanafurahisha
wewe watu tunaangalia ubao, possession mara sijui nimeupiga mwingi hizo mbwembwe tuu.Simba siwadai wachezaji wote na benchi zima la ufundi...yani mmekiwasha vile hatarii pira lipoo...
Yajayo yanafurahisha
nawaona wakichukua ubingwaKwa nini
Nikuleteee maji?Wana simba acheni ujinga kabisa wa kuiponda timu tuko kwny raiti traki...
Akipewa thank you, uongozi nao unatakiwa kupewa thank you pia.Kesho kocha anapewa THANK YOU!