Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024

kwamba hufahamu leo imewakosa wachezaji wangap wa kikosi cha kwanza mkuu mbona unachambua ki.mahaba
Si mna kikosi kipana au imekuwaje tena, yani kama mpaka timu ndogo kama tabora nayo ni ya kuiwekea first eleven mtatoboa kweli, yani first eleven hiyo hiyo itumike cafcl na nbcpl si watamaliza msimu wakiwa wamechoka sana na kujikuta hawajaambulia kombe hata moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…