Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024

Vipi hii page mbona imeganda hivyo hivyo muda sasa?
 
mkuu umeanza fatilia mpira jana tabora timu ndogo

umecheza nayo haina wachezaji 8 wa kikosi cha kwanza
 
Ndiyo naingia wakuu nini kimetokea!!?
Ni huzuni kuu. Vyura wa pale Jangwani mpaka sasa weshazamishwa kwenye tope umbali wa futi mbili ndani ya tope. Tunasubiri tuone kama wataweza kujitutumua kutoka chini ya hilo tope. Muda waliopewa ni dk. 45 tu, zikiisha hizo wakiwa bado hawajatoka, itakuwa ndiyo kwisha habari yao kwa siku ya leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…