Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Kocha wa kufundisha strikers kupaisha na kubahatisha mashuti wakati hata kukaba hawajuwi kama yeye mwenyewe. The guy is useless.Muda wa Aziz Ki kuwa kocha umefika sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kocha wa kufundisha strikers kupaisha na kubahatisha mashuti wakati hata kukaba hawajuwi kama yeye mwenyewe. The guy is useless.Muda wa Aziz Ki kuwa kocha umefika sasa
umeanza fatilia mpira mechi ya azam na yanga mkuuPeleka huko
wameingiza waliodungwa sindano, watachomoa na kushindaAposto nini kimetokea?
He's fucking useless, sielewi kwanini watu wanahisi ni mchezaji wa maana. Mbaya zaidi ni kwamba hatuna soccer pundits hapa Tanzania wanaojuwa mpira na kusema ukweli.Hata ku dribble hawezi
Sikusema wewe n mjinga kwasababu unacheka yanga kufungwaKama kuwa mjinga kutatokana na mimi kuicheka Yanga kufungwa
Basi kwa akili yangu nimekubali kuwa mjinga.
And I'm fine for that
akawe kocha msaidizi wa msaidiziKwakuwa aziz k katolewa na gundu zake, yanga inashinda
Tupo mzeeUzi umepoa sana. Wanavyura rudin hapa, mpira dakika 90
Hapa ni mwendo wa asali ,maji na mafutawameingiza waliodungwa sindano, watachomoa na kushinda