Hili timu linazingua sana, wasipobadilika leo basi wajipange msimu ujaoMechi: Yanga SC VS Tabora United
Ligi: NBC Premier League
Uwanja: Azam Complex
Tarehe: November 7,024
Muda: 🕖 6:00PM
View attachment 3145701
Mkuu waonee huruma ujue hiyo sehemu kuna mwiko.Kila lakheri Tabora United...
Yanga nawaombea balaa liwakute...
Uchawi wenu uwageuke na iwe fimbo inayouma sana matakoni mwenu...
Halafu hii issue tunaiongea kama utani ila kuna siku hawa jamaa watapata adhabu kali sana...Wameshawapiga sindano wachezaji wao kina Dube?
Valentino mashaka mbona simjui anacheza timu gani?Naomba takwimu za mechi walizocheza na magoli waliyofunga wachezaji wafuatao
1. Valentino Mashaka
2. Prince Dube
Yupo Tabora UnitedValentino mashaka mbona simjui anacheza timu gani?
Tatizo la hizi sindano wachezaji wakipumzika wanapata usingizi ghafla.A case in study Chama alikuwa anasinzia kwenye benchi.Wameshawapiga sindano wachezaji wao kina Dube?
Tutamuona uwanjani leoYupo Tabora United
tatizo la wachezaji wa kanyoko fc ni ile supu ya vibudu imeingia kwenye joints kwa sasa ukiwaangalia wote wamelegea ni mwendo wa kupigwa tuWameshawapiga sindano wachezaji wao kina Dube?
Kila la kheri watani Vincenzo Jr, ngara23 , Tate Mkuu , Kichuguu etcMechi: Yanga SC VS Tabora United
Ligi: NBC Premier League
Uwanja: Azam Complex
Tarehe: November 7,024
Muda: 🕖 6:00PM
View attachment 3145701
Tunashukuru sana mtani 👏 pamoja na kupitia kipindi kigumu kwa sasa!
Pamoja mkuu
Mimi kwa nkane sina shaka atazima vizuri tu shida iko kwa andambwile pale kati mwenzake Mwamnyeto hana shida .Hili kikosi kinanipa mashaka sana
Tuwekee vikosiMechi: Yanga SC VS Tabora United
Ligi: NBC Premier League
Uwanja: Azam Complex
Tarehe: November 7,024
Muda: 🕖 6:00PM
View attachment 3145701
Sisi twajiandaa kunywa supu tu, mkikandwa😅Hili kikosi kinanipa mashaka sana
Wenye akili ni wangap vile😂Wanayanga wengi humu ni plastic fan
Yaani uzi umepoa kisa kupoteza mechi moja tu tukishinda leo ndiyo utaona mnatirirka hapa
Shame on you