Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Refa alijaribu kuwabeba lakini ndiyo hivyo😁😁🤣🤣Huu Mpira ungeisha Kwa wakati wasingeambulia hata goli. Wamebeba wee imeshindikana🤓
Nadhani mmenielewaMayanga yatafungwa tuko hapa.
Asante tajiri
Tajiri yetu ni Bantu Lady mungu amtie nguvu! Maana body bado tunalitakaAsante tajiri
Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
Vipi kesho hamna supu pale mitaa ya tigwa na jangwani??Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.View attachment 3146572
Kesho mapema muwahi soup, msisahau kubeba pilipiliWabongo banaa,inafungwa Madrid,Mancity,Arsenal licha ya utopolo??kelele nyingi kila mahali
Ndio mfungwe matatu?Mti wenye matunda ndiyo hushambuliwa na mawe.
Vipi kesho hamna supu pale mitaa ya tigwa na jangwani??
Kinachowaponza ngebe. Mpaka wanatunga wimbo.Ndio sababu leo wengi wamefurahi ngebe kukatwa.Wabongo banaa,inafungwa Madrid,Mancity,Arsenal licha ya utopolo??kelele nyingi kila mahali
mudy yeye mabangi tu hapa kwetu, muujiza autowe wapi?Mudi angefanikiwa kufanyapo japo kamuujiza ka kizushi tungekoma wallahi. Pole.
Hivi wewe una elimu ipi ya kushindana hata na mtoto Kiislam wa darsa la tano?Tukisema shule muhimu muwe mnaenda shule mnaona kama tunawanyanyapaa au hatuwapendi. Hizi imani za kishetani kabisa. Ni aibu. Hata ulichoandika we mwenyewe sijui kama unaweza ukakikosa ukakielewa. Mnaabudu ushirikina sana. Na naona Mikia nao ni shida. Imani yako na team yako vyote ni vya kupelekwa Jehanamu.
Hawa hawa waislamu ninao wafahamu mimi kama wewe?na elimu yao hii hii ya kuolewa Aisha na Muddy akiwa na miaka 9?na hawaoni shida? Na wewe huyu huyu ambaye hujielewi?na waislamu hawa hawa wanaoshinda madrasa wakicheza dufu na kukariri quran na hawajui hata maana yake?na chuo chao kikuu cha kupewa cha Morogoro? Dini ya mauaji,uzinzi,uasherati na mtume asiyejua kusoma?ya uchafu wote na ubakaji?😂Hivi wewe una elimu ipi ya kushindana hata na mtoto Kiislam wa darsa la tano?
Hivi unajua uliukimbia uzi wako?Haukuumalizia.Mechi: Yanga SC VS Tabora United
Ligi: NBC Premier League
Uwanja: Azam Complex
Tarehe: November 7,024
Muda: 🕖 6:00PM
View attachment 3145701
Dakika, 11 Si Yanga wala Tabora hakuna timu iliyopata goli hadi sasa.
Dakika, 15 Mchezo umendelea kuwa mzuri timu zote zinacheza kwa utulivu sana.
Dakika, 19 Tabora wanapata goli kupitia Chikola.
Dakika, 30 Yanga wanaendelea kufanya mashambulizi hadi sasa bado awajapata kusawazisha goli.
Dakika, 34 Mlinda mlango wa Tabora amekuwa bora kudaka mipira hatari kutoka kwa Yanga.
Dakika, 44 Bado ngoma ngumu kwa Yanga hadi sasa. Tabora wakiwa bado wapo mbele.
Dakika 4 zimeongezwa kutamatika dakika 45 za kipindi cha kwanza.
Dakika, 47 Yanga wanapata penati.
Dakika, 48 Tabora wanapata goli la pili kutoka kwa Chikola.
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimekamilika.
Dakika 45 za kipindi cha pili kimeanza Je Yanga atafanya maajabu ya soka kusawazisha magoli mawili.
Dakika, 54 Hussen Masalanga anatoka baada ya kupata maumivu.
Dakika, 59 Yanga wanaendelea kulisakama goli la Tabora lakini mambo ni magumu
Huyu jamaaa kila sehemu anakuwa na ubaguzi kama choco. Kwanza hapa sehemu ya football umefuata nini na kichaa chakoHawa hawa waislamu ninao wafahamu mimi kama wewe?na elimu yao hii hii ya kuolewa Aisha na Muddy akiwa na miaka 9?na hawaoni shida? Na wewe huyu huyu ambaye hujielewi?na waislamu hawa hawa wanaoshinda madrasa wakicheza dufu na kukariri quran na hawajui hata maana yake?na chuo chao kikuu cha kupewa cha Morogoro? Dini ya mauaji,uzinzi,uasherati na mtume asiyejua kusoma?ya uchafu wote na ubakaji?😂