Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… nakuonaga unvyochanganyikiwa mkifungwa. Zamu yenu yaja. Usitukane mamba kabla hujavuka mto. Thanks love πŸ₯°
Sijawahi changanyikiwa kipenzi umenifananisha..πŸ˜„πŸ˜„mm huwa nipo tukifungwa ni kama tumefunga na tukifunga tumefunga... kisa cha kufa na presha?..sisi tumeshapitia hayo madhila ya kutusimanga humu..hii ni zamu yenu...ila havina muda tutasahau...
 
Mas
Maskini! Ulishindwa malizia kureport matukio muhimu ya match kama Yanga wamepata penati, je waliifunga au ili dakwa, ukaanza kidogo kipindi cha pili mambo yakawa magumu ukakimbia uzi wako,. Pole sana
 
Ufungwe kwani uzi umekuwa Yanga?
Anafungwa Manchester City F.C wewe unaumia Yanga kufungwa? Kwenye mpira kufunga, kufungwa, sare ni matokeo pia. Yanga itabaki kuwa Yanga na historia zake. Na bado ubingwa tutabeba, tuwafunge vidomodomo vyenu.

#Yangadaimambelenyumamwiko#
#tunafungwailaubingwawetu#
#timuinayowaumizamadunduka#
#timutunayonaubingwatunao#
🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨
 
Hao Tabora si ndiyo walisimamisha gogo lililokatwa miaka kadhaa nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…