Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Wako Chamaz huko kawaambieYanga mnaona shida gani kupiga kuanzia mbali?
yanga sio wa penati na kadi nyekundu,.wenye mambo hayo wanajijuaHesabu za mbali hizo, yanaandaliwa mazingira ya kadi ya mtu kupunguzwa, utaona second half
Nipe matokeo.ugumu uko wapi ikiwa yanga yuko golini kwa tabora muda wote
wameharibu clean sheetYanga unbeaten,clean sheet..hahahaaa Tabora funga hao supu fc
Lazima, bahasha zitafanya kazi leo.Utabiri: Kutakuwa na penati
mi namuona daktari anavyoandaa syringeNamuona injinia anavyoandaa bahasha za half time, ngoma ishakuwa ngumu hii
Umeshtukan nini mkuuwameharibu clean sheet
sema tutaipata kwa mteja wetu mechi ya marudiano
Yan mpaka wasemeMtawakataa wote msimu huu, mlianza na Dube now Aziz...tuendelee