SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Mkikaa vibaya wanaongeza zingine mbili. Nilisema jana, hakuna mnyamwezi falando kwanza ina anza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkikaa vibaya wanaongeza zingine mbili. Nilisema jana, hakuna mnyamwezi falando kwanza ina anza
Milango ya nyuma🫢Nimeamini hawa uto ni wachawi...milango ya nyuma imewaponza
hana uwezo huoMkikaa vibaya wanaongeza zingine mbili. Nilisema jana, hakuna mnyamwezi fala
Kuna baadhi ya mashabiki waliwahi kusema anadaka hata mishale! Leo imekuwaje tena.Diarra hamna kipa pale
HahahahahaMwana fa aliwahi sema
Hata uwe mtata vipi kuna mahari utazidiwa
Huwezi kum un qualify kamala kwasababu kafungwa match
Kwani siku hotofautiana tokana na mood,uchovu
Na tamper ya gem
Usiwe mjinga.
Na saizi unafikiri mashuti ya mbali hajabahatika kuyapata?Jamani Aziz Ki si mchezaji wa maana, jiulizeni, zaidi ya mashuti ya mbali ana nini cha ziada? Jamaa ukiondoa mashuti yake hana lolote zaidi ya kuwa mzigo tu kiwanjani.
Walikuwa wanamjaza kichwaKuna baadhi ya mashabiki waliwahi kusema anadaka hata mishale! Leo imekuwaje tena.
Nani ashinde wewe Ngombe😅Sindano fc
Msihofu mtashinda wanywa supu za vyura nyie
UsichekeHahahahaha
Hata ku dribble haweziJamani Aziz Ki si mchezaji wa maana, jiulizeni, zaidi ya mashuti ya mbali ana nini cha ziada? Jamaa ukiondoa mashuti yake hana lolote zaidi ya kuwa mzigo tu kiwanjani.
basi machalanga ndo kipa bora mkuuWalikuwa wanamjaza kichwa
Tatizo la mabeki linatufanya yote haya. Kulikua na sababu gani ya kumuacha Gift Fredy. Halafu ukajaza kule wakina Baleke ambao huwatumii sana.
Mwasibu niaje ndug yanguYanga Nguvu Moja
Mzigo mzito mpe mnyamwezi💪💪💪Mkikaa vibaya wanaongeza zingine mbili. Nilisema jana, hakuna mnyamwezi fala
🤣🤣🤣🤣🤭Bado hatujasikia milio,wanangu wa tabora endeleeni kupiga kwenye ugoko.