Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Mbeleko ImechanikaLa piliiiiiiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeleko ImechanikaLa piliiiiiiiii
Washaamuumiza jmnWanataka kumuua kipa wetu
Leo nyie wa kusema haya tena ha ha ha mpk mmeanza kuwakumbuka watu!!Tatizo la mabeki linatufanya yote haya. Kulikua na sababu gani ya kumuacha Gift Fredy. Halafu ukajaza kule wakina Baleke ambao huwatumii sana.
Mungu fundi sanaNa wanaikosa penati ya mchongo
Uwanja huo uchawi haufanyi kazi, panasomwa Qur'an hapo kila siku.Yanga ndio magwiji wa uchawi ushahidi upo!
ndio nini?
Baada ya masindano kuchomwa na kuhongwa refaHii mechi inaisha 5 - 2
Dogo anapewa sifa tu za kijinga lakini si mchezaji wa maana......kabahatika kushabikiwa na wajinga wasiojuwa mpira.Na saizi unafikiri mashuti ya maana hajabahatika kuyapata?
Hapana, kayapata ila yote katungua mnazi
Kama kuwa mjinga kutatokana na mimi kuicheka Yanga kufungwaUsicheke
Usiwe mjinga
Daktari wao hajakamatwa tu?Zinaingizwa sindano sasa