maranguvillage
JF-Expert Member
- Sep 8, 2023
- 935
- 2,096
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi leo GSM hajatoa muamala?Key player aliyekosekana ni Kayoko tu
Hao Wachezaji wa Bongo ni kama homa za vipindi, Ditram Nchimbi alikuwa wamoto Yanga wakamsajili kumbe mavi matupu.Offen Chikola kaupiga mwingi sana, aitwe taifa stars
Chikola na wazawa wengine wa Tabora united waitwe Stars
Tunaomba chikola aitwe taifa stars. Accuracy yake akiwe mbele ya goli ni kubwa sana, nahisi jamaa ni mbrazili Naomba kocha na tff wamuongeze taifa stars. Hicho kipaji kikuzwe. Accuracy yake mbele ya goli ni ya kimataifa level za UEFA champions league. Pia kama kuna wazawa wengine waliocheza...www.jamiiforums.com
Hamna kikosi kipana ndio maana uchovu umewakumba...Ninachokiona ni uchovu tu wachezaji wametumika sana week hizi mbili non stop na majeraha kadi tena sehemu zile muhimu muhimu sana.
Yaani aucho ndiyo wa kuzima beki ya kati kweli?
moudgulf unafikiri nateseka basi? Nina amani kabisa, bado nina imani na Yanga. Haya ni makosa katika mpira, kocha atajua tatizo lilipo na atafix.Unateseka ukiwa wapi madam?
Kwahakika Utopolo mkikereka ndiyo furaha ya wana Simba.
Bahasha zimeisha 🤣🤣🤣Waganga wamepoteza hirizi,😆😆😆😆😆😆😆
Chikola kapata nafasi mbili na hizo hizo mbili kaweka goli.Hao Wachezaji wa Bongo ni kama homa za vipindi, Ditram Nchimbi alikuwa wamoto Yanga wakamsajili kumbe mavi matupu.
Yuko wapi George Mpole?
Kuna mwamba wa kuitwa Baltazar, huyo hata didy anasubiriIli kuchangamsha jukwaa, inabidi P. Diddy aje tu kutuwekea ile video yake akimpaka Mondi Baby Oil mgongoni wakiwa chumbani wao peke yao.
Mbona mkapa haitulipi kwa njia izo pale starsSimba Wameshtuka mapema huo uwanja tuwaachie Azam wenyewe, ni aibu sana Simba na Yanga hawana viwanja vya nyumbani ambapo unaweza kufanya lolote kabla ya mechi.
Boka ni mzuri kuliko noumaDalili ya mvua ni mawingu. Timu ilianza kwa kupata ushindi wa kagoli kamoja! Mwishoni imeanza kupokea vichapo mfulilizo.
Kwa hiyo lazima hatua zichukuliwe! Kocha atimuliwe, na wakati wa dirisha la usajili, wachezaji wazuri nao waongezwe. No way out, ok!!
Kuhusu nini broKwani leo imekuajeee?
Kwani leo imekuajeee?
Chuma cha 3 kapiga Muganga kama sindano vile.Sindano za kuongeza nguvu leo walishtuka kutumia.Wakaingia watupu mara vitatu.Pakiti ikaishia hapo.Rough Rider.
Hahahaha. Supu ipo?Kuhusu nini bro