Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui wanarekodia masufuria nyumbaniSi walisema kuna VAR hivi wameziweka wap?
Mkuu inaonekana wewe ndo unasimamia kitengo cha FARAJA pale ukoloni.Hii imefanya iwe ya 30
Makolo mnawivu, kwa hiyo inakuaga real mkikandwa nyie tu?Nothing real
Dozi inaendeleaEndeleeni kufunga magoli ya mchongo mkijipongeza
Hujawahi kupigwa 5 bila?Kuna watu watawalaumu Ken Gold,kwa tano walizo pigwa,yaani wanapenda kujisahaulisha.
Furaha ipotee wakati simba ndio timu ya kwanza kufunga goli tano kwenye ligi msimu huu na bado inaongoza ligi, mbona mnapenda kujifariji kiasi hicho hivi huwa hamjisikii raha bila kujilinganisha na simba, na kumbuka katika yale matano hakukuwa na penalty maana mngepata cha kusemaSimba wakifikiria vile vigoli vyao vya papatu papatu wakione izi 4 5 wanalalamika kweli
Furaha imepotea🤣
Mkuu tukumbushane, ile goli difelensi ya magoli ya penati, yamebaki mangapi vile?Endeleeni kufunga magoli ya mchongo mkijipongeza
Kolowizard unaumia ukiwa wapEndeleeni kufunga magoli ya mchongo mkijipongeza
Issue tano si ziliwahusu?Hujawahi kupigwa 5 bila?