SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Simba hii ya haiishi mpaka iishe, mjipange haswaMsimamo wa ligi, tutaubadili siku tukikutana na mwali wetu kolo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba hii ya haiishi mpaka iishe, mjipange haswaMsimamo wa ligi, tutaubadili siku tukikutana na mwali wetu kolo.
Kujifariji ni muhimu sana, ajili ya afya za makolo.Uzi unahusu mechi ya Yanga na Fountain Gate lakini comments zilizojaa ni kuhusu Simba.
Hivi hii inaweza kutokana na ukubwa wa hiyo timu katika aspects zote?
I mean kwenye social media Simba imeviacha mbali vilabu vingine kwa idadi ya wafuasi na hivyo vilabu vikitaka kutumia ukubwa wa Simba kama jeki ili navyo vijulikane.
Au sometimes ni kutokana na kuwa Club namba 6 kwa ubora Africa? Kwamba kila Club inaiona Simba kama role model wao na kujikuta zinajipima mafanikio kupitia Simba?
Kuna timu hata ikishinda inabaki pale pale kama baiskeli ya kunolea visu.
Nendeni mkawakumbatie nyuki ndo utapata jibu
Kilele gani cha jambajamba kama huu moto wa yangaNikiwa kileleni mwa ligi
Nyambasi kadai weweUkiyaambia yaandamane kudai katiba mpya hayataki. Ila yamejaa humu kushabikia simba na Yanga kama mazuzu
Hii imefanya iwe ya 30Kujifariji ni muhimu sana, ajili ya afya za makolo.
Wakati ukifika, mtanena kwa lugha kama ilivyo kawaida yenu.Simba hii ya haiishi mpaka iishe, mjipange haswa
toa ushamba wako humuTakwimu za Content kuhusu Yanga kwenye huu uzi zimeandikwa mara 21. Maana yake ukijumlisha na hii post yangu inakuwa jumla 22
Wakati Content zenye kuilenga Simba zimeandikwa mara 28 na hii post zinakuwa 29.
Hapo ukumbuke Simba hawahusiki kwenye hii mechi. Ni timu za chinichini huko kwenye msimamo ndio zimekutana lakini uzi hauwezi kwenda mjini bila kuitaja Simba.
Bado siku chache sana nyuma mwiko mtaanza Tena kulia.Simba hii ya haiishi mpaka iishe, mjipange haswa
Washamba bado ni walewaletoa ushamba wako humu
yanga itawanyima sana nnyaaa mwisho mjisubalie.Washamba bado ni walewale View attachment 3187865
Hata ukimuuliza Hersi atakwambia hatamani kucheza na Simba sasa hiviWakati ukifika, mtanena kwa lugha kama ilivyo kawaida yenu.
Si walisema kuna VAR hivi wameziweka wap?Ilikua iwe red card ila refa hamkumbuki aliyefanya faulo
Hao SI wana mwiko nyuma😁Takwimu za Content kuhusu Yanga kwenye huu uzi zimeandikwa mara 21. Maana yake ukijumlisha na hii post yangu inakuwa jumla 22
Wakati Content zenye kuilenga Simba zimeandikwa mara 28 na hii post zinakuwa 29.
Hapo ukumbuke Simba hawahusiki kwenye hii mechi. Ni timu za chinichini huko kwenye msimamo ndio zimekutana lakini uzi hauwezi kwenda mjini bila kuitaja Simba.