Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024

Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024

Uzi unahusu mechi ya Yanga na Fountain Gate lakini comments zilizojaa ni kuhusu Simba.

Hivi hii inaweza kutokana na ukubwa wa hiyo timu katika aspects zote?

I mean kwenye social media Simba imeviacha mbali vilabu vingine kwa idadi ya wafuasi na hivyo vilabu vikitaka kutumia ukubwa wa Simba kama jeki ili navyo vijulikane.

Au sometimes ni kutokana na kuwa Club namba 6 kwa ubora Africa? Kwamba kila Club inaiona Simba kama role model wao na kujikuta zinajipima mafanikio kupitia Simba?
Kujifariji ni muhimu sana, ajili ya afya za makolo.
 
Takwimu za Content kuhusu Yanga kwenye huu uzi zimeandikwa mara 21. Maana yake ukijumlisha na hii post yangu inakuwa jumla 22

Wakati Content zenye kuilenga Simba zimeandikwa mara 28 na hii post zinakuwa 29.

Hapo ukumbuke Simba hawahusiki kwenye hii mechi. Ni timu za chinichini huko kwenye msimamo ndio zimekutana lakini uzi hauwezi kwenda mjini bila kuitaja Simba.
 
Takwimu za Content kuhusu Yanga kwenye huu uzi zimeandikwa mara 21. Maana yake ukijumlisha na hii post yangu inakuwa jumla 22

Wakati Content zenye kuilenga Simba zimeandikwa mara 28 na hii post zinakuwa 29.

Hapo ukumbuke Simba hawahusiki kwenye hii mechi. Ni timu za chinichini huko kwenye msimamo ndio zimekutana lakini uzi hauwezi kwenda mjini bila kuitaja Simba.
toa ushamba wako humu
 
toa ushamba wako humu
Washamba bado ni walewale
1735483418412.jpeg
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Hivi huyu mchezaji wa fountain aliyesema hivi anaitwa nani
 
Ilikua iwe red card ila refa hamkumbuki aliyefanya faulo
 
Kocha nae anatuletea ungese, sisi tulitaka hat trick ya pili msimu huu,yeye anamtoa Pacome
 
Takwimu za Content kuhusu Yanga kwenye huu uzi zimeandikwa mara 21. Maana yake ukijumlisha na hii post yangu inakuwa jumla 22

Wakati Content zenye kuilenga Simba zimeandikwa mara 28 na hii post zinakuwa 29.

Hapo ukumbuke Simba hawahusiki kwenye hii mechi. Ni timu za chinichini huko kwenye msimamo ndio zimekutana lakini uzi hauwezi kwenda mjini bila kuitaja Simba.
Hao SI wana mwiko nyuma😁
 
Back
Top Bottom