Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Weka pressure mpaka wachanganyikiwe wao. Sio hawa tu hata Camara alishajichanganya hivihivi. Kwahiyo watulie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
simba nayo ilichapwa na yangaTimu zote zinazofungwa na Yanga ni kama zinafanyq mazoezi, hazina nguvu zikifika katikati. Hazi kazi msuli kama zinavyccheza a Simba.
Yanga iweke akiba ya mshtuko ikikutana na team za Caf Championship
Milio ninayopenda kuisikia[emoji23]
Tahadhari, awamu hii tukiwafunga msiwalaumu wasiohusika.Waliolia msimu huu mbona wanajulikana, tena walianza kulia mapema sana ligi ikiwa ndio kwanza imeanza, nasisitiza mwisho wa msimu tusisikie tu vile vilio vyenu vya magoli
Milio ya nini mzeeeeeUtopolo hawatumii akili, Emayel anawajua vizuri.
Tunzeni nguvu zenu kuna mechi muhimu zinakuja. Hata mfunge 7 mtabaki hapo hapo #2.
Hawa yanga wanakera sana mkuu, haiwezekani daily wawe kikwazo cha furaha yetu.Utopolo hawatumii akili, Emayel anawajua vizuri.
Tunzeni nguvu zenu kuna mechi muhimu zinakuja. Hata mfunge 7 mtabaki hapo hapo #2.
Utapia tu wewe