Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliolia msimu huu mbona wanajulikana, tena walianza kulia mapema sana ligi ikiwa ndio kwanza imeanza, nasisitiza mwisho wa msimu tusisikie tu vile vilio vyenu vya magoliPole mkuu, japo nimevutiwa na kipaji chako cha kulia live kwa njia ya maandishi.
Mnachonishangaza nyie jamaa huwa mnaona kasoro za hizi timu tu ila hamuoni kabisa kiubora wameachwa mbali na Yanga.Timu zote zinazofungwa na Yanga ni kama zinafanyq mazoezi, hazina nguvu zikifika katikati. Hazi kazi msuli kama zinavyccheza a Simba.
Yanga iweke akiba ya mshtuko ikikutana na team za Caf Championship
Kweli ubaya ubwege
Unasemaje wewe chura!?Makolo hapa wajifunze namna soka safi linachezwa. Sio kusubiri papatu na penalty
naneZinaishia nne au leo zinazidi ??
Kumbe msimu uliopita ulikuwa kwenye mizigo maana hukuwepo business wala economyLigi hii ingekuwa ndege, tungesema Simba yuko zake Business Class habughudhiwi na anapata huduma zote za kikubwa, huyu mwingine anahangaika zake kule Economy Class na kina Fountain Gate.
Ukiwa Business Class, misuguano ya Economy wala hauisikii. Ndiyo kinachoendelea leo.
Offside ya waaaaziiiiiView attachment 3187849
Penalti ya wazi kabisa ile tumenyimwa
Dube ni muoteaji ila hakuna striker pale
Bado nauliza, mnacheza leo ili iwejeee?
Milio ninayopenda kuisikia[emoji23]Kufunga kwa mkono na ngumi ni jadi ipo hata kwenye emblem ya klabu.
Tafuta video uangalie tenaOffside ya waaaaziiiiiView attachment 3187849
Leo zinafika sita,tunaongeza dozi kidogo kidogo,makolo tutawapiga sabaZinaishia nne au leo zinazidi ??