Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Muhimu points tatu na ushindi tu haijalishi umeshindaje maana hakuna wa kumsema mwenzie hapa, tutaona kwenye klabu bingwa kisha tukutane mwisho wa msimu, msianze tu zile taarab zenu za "oo hayo ni mashindano ya kina mama" mara "oo timu inashinda kwa magoli ya penati na kona tu"