majebelenzoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 288
- 465
Kocha wa yanga atakuwa anashangaa anavyopata mabao kirahisi, kumbe hajui wenzake wanamlainishia kwa njia za uchochoroni, asijione ni bonge la kocha, astuke wanamuhadaaMganga wa yanga kaamua kurudi mzigonin ili apate ada ya January
Lile goli ili azuie ilihitajika aruke azuie kwa mkono.Mimi ningekua beki wa IHEFU/SINGIDA FOUNTAIN GATE nisinge ruhusu mpira unizidi speed chuma Cha 5
Katiba tunadai, na kushabikia tunashabikia vilevile😀Ukiyaambia yaandamane kudai katiba mpya hayataki. Ila yamejaa humu kushabikia simba na Yanga kama mazuzu
Muda ukifika mtanena kwa lugha kama ilivyo kawaida yenu.Simba inaweza kuwakanda 2.
Hahaha, Simba 2- 0 Uto. Labda wadungane yale masirinjiMuda ukifika mtanena kwa lugha kama ilivyo kawaida yenu.
Kujifariji ni muhimu sana ajili ya afya za makolo.Hahaha, Simba 2- 0 Uto. Labda wadungane yale masirinji
Jitahidi ufiche ujinga wako. Siku nyingine ukiwaambia hao watu waandamane, na wewe ujitahidi kukaa mstari wa mbele kuyaongoza hayo maandamano! Na siyo kujificha kwenye migomba yenu ya urithi kule Machame.Ukiyaambia yaandamane kudai katiba mpya hayataki. Ila yamejaa humu kushabikia simba na Yanga kama mazuzu
Bado Fadlu Davis na benchi lake lote. Na yeye zamu yake inakuja. Nimeambiwa hapa na kijana wangu, eti Juma Mgunda tayari ameshaanza kupiga jalamba.
Anawakoaesha kupata usingizi..Bado Fadlu Davis na benchi lake lote. Na yeye zamu yake inakuja. Nimeambiwa hapa na kijana wangu, eti Juma Mgunda tayari ameshaanza kupiga jalamba.
Ok mkuuKujifariji ni muhimu sana ajili ya afya za makolo.
Kama wewe Yanga hujawahi kufungwa 5-0 na timu fulani. Ruksa kubwabwaja hapa jukwaani.Kama timu yako haijawahi kufungwa tano
na Yanga, unaruhusiwa kuicheka Fontain Gate.
Kama timu yako haijawahi fungwa sita na Simba watie moyo waliooigwa tano na amphibiansKama timu yako haijawahi kufungwa tano
na Yanga, unaruhusiwa kuicheka Fontain Gate.
Kama timu yako haijawahi fungwa sita na Simba watie moyo waliooigwa tano na amphibians