majebelenzoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 288
- 465
Kocha wa yanga atakuwa anashangaa anavyopata mabao kirahisi, kumbe hajui wenzake wanamlainishia kwa njia za uchochoroni, asijione ni bonge la kocha, astuke wanamuhadaaMganga wa yanga kaamua kurudi mzigonin ili apate ada ya January