Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unajua Aziz Ki alikuwa MVP? Kwa sasa anakukwaza na kipi?Kwangu mimi nimeona mechi ya Yanga vs Mashujaa ndio mechi pekee ambayo Yanga waliupiga ule mpira ambao mashabiki tunatamani kuuona. Kipa, Aziz Ki na Mudathir ndio waliotukwaza
Umesema alikuwa, ila saivi kawa mpoteza mipira hovyo, mbutua mipira juu ovyo hata kulenga goli kuna mshinda na akilenga ujue kapiga kijishuti cha mtoto. Yaani hana msaada kwenye timu kwa mechi walizocheza hadi sasa.Hivi unajua Aziz Ki alikuwa MVP? Kwa sasa anakukwaza na kipi?
Huyo Kibabage hakutakiwa kuanza. The same to Farid Mussa aliyeotoka majeruhi ya muda mrefu. Alitakiwa aingie baadaye. All in all, ushindi ndiyo kitu pekee muhimu kwa Wananchi.
Naunga mkono hojaHuyo Kibabage hakutakiwa kuanza. The same to Farid Mussa aliyeotoka majeruhi ya muda mrefu. Alitakiwa aingie baadaye. All in all, ushindi ndiyo kitu pekee muhimu kwa Wananchi.
Kibabage kwenye kushambulia hovyo, kwenye kukaba hovyoHuyo Kibabage hakutakiwa kuanza. The same to Farid Mussa aliyeotoka majeruhi ya muda mrefu. Alitakiwa aingie baadaye. All in all, ushindi ndiyo kitu pekee muhimu kwa Wananchi.
Ushibdi ndio kitu kigumu kupatikana leo kwa wananchi.Huyo Kibabage hakutakiwa kuanza. The same to Farid Mussa aliyeotoka majeruhi ya muda mrefu. Alitakiwa aingie baadaye. All in all, ushindi ndiyo kitu pekee muhimu kwa Wananchi.
Tuweke hela mkuu mods wasimamie showUshibdi ndio kitu kigumu kupatikana leo kwa wananchi.
Wazawa wamepata bahati leoKikosi kimejaa wachezaji wa ndani tupu, wachezaji wa kigeni wapo watatu tu duh ngoja tuone
Usihangaike na kuweka hela na mimi,Iweke beting kama unaiamini Team yako.Simple like that.Tuweke hela mkuu mods wasimamie show
Achana na betting weka hela na mie niweke hela betting ya Nini mkuu au hautakiUsihangaike na kuweka hela na mimi,Iweke beting kama unaiamini Team yako.Simple like that.
Omba Goli 4 tu tia mzigo