zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
wewe,una ona vyema na unajua mpiraNimeanza kuiona Young Africans ninayoifahamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe,una ona vyema na unajua mpiraNimeanza kuiona Young Africans ninayoifahamu
Bado ngapi hukoBaba si unaiamini team yako? tia mzigo
Wewe nawe acha uongo kuna penati gani pale? Azam wameirudia lile tukio na hakuna mpira uliogusa mkonoWatoto wananyimwa penati za wazi
Na wapo online sema wanadharau sana Hawa jamaaHivi imeshindikana kabisa kuweka updates kwenye huu uzi!! Moderator mko likizo!!
Alifunga Kijili.
Shida sio kujifunga ni mligawa point 3 kwa wenzenuAlifunga Kijili.
Na sijui kama Max Nzengeli anayo hiyo taarifa mpaka sasa.
Bila Azam kuweka marejeo alikuwa anaenda kutuhadaa watu wazima kabisa.
Si ndio kama ulivyosema kuwa tuligawa pointShida sio kujifunga ni mligawa point 3 kwa wenzenu
HIVI MODERATORS MNATAKA MTUKANWE ILI MWAPIGE WATU BAN SIO.
MECHI ZA SIMBA MPIRA UNAANZA MNAWEKA LIVE ILA KILA MECHI YA YANGA LAZIMA MCHELEWE.
wapo migombani mda huu watarudi january 3Hivi imeshindikana kabisa kuweka updates kwenye huu uzi!! Moderator mko likizo!!
Usilitaje bure jina la SimbaHIVI MODERATORS MNATAKA MTUKANWE ILI MWAPIGE WATU BAN SIO.
MECHI ZA SIMBA MPIRA UNAANZA MNAWEKA LIVE ILA KILA MECHI YA YANGA LAZIMA MCHELEWE.