mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
π°ππππ ππππππ°
π TotalEnergiesCAFCL
β½οΈ Young Africans SCπTP Mazembe
π 04.01.2025
π Benjamin Mkapa
π 4PM (EAT)
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwikoView attachment 3191850
Yanga Kwisha!!Kikosi
Beki mrefu atachomoa.Kuna kitu kinaniambia kuna beki mmoja Mfupi atachomesha sijui Kwanini?
Mimi ni Yanga ila leo Sina Imani kabisaKila la kheri Timu ya Wananchi.
Kikubwa tunachohitaji ni points tatu walau zituongezee morali zaidi katika kisaka points zingine sita ili tujiwekee uhakika wa kuvuka robo fainali.
"DaimaMbeleNyumaMwiko.
Gusa, achia, twende kwao.
Nenda "www.fawanews.com" bando lako tu.Mwenye link wa kuangalia hii mechi ,tusaidie
Sijaona umuhimu wa kumpanga Diarra wangemuacha Mshery mwenye muendelezo mzuri wa kutokuruhusu goli nyavuni kwake
Kikosi cha kufosi ..Kikosi
Pamoja na hayo mechi ya leo ni ngumu kwa Yanga.Mimi nawauliza:
Kocha huyu mbovu sio mbovu?
Dube anajua au anabahatisha?
Wachezaji wameacha pombe au bado?
Iman huwezi kuwa nayo kutokana na matokeo yaliyopitaMimi ni Yanga ila leo Sina Imani kabisa