Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Binadamu huzaliwa, kukua , kuzeeka na baadae kufa kama viumbe wengine...lakini binadamu ndo kiumbe mwenye akili nyingi kuliko viumbe wote duniani, na ndiyo maana Mwenyezi MUNGU alimpa uwezo wa kuitawala dunia na vilivyomo.
Wanasayansi, wataalamu, wavumbuzi, watafiti mahiri na mashuhuri kutoka mataifa yote duniani wameshindwa kuja na jibu linaloeleweka la nini kinafuata baada ya binadamu kufariki dunia.
Hata viongozi wa dini wameshindwa kuthibitisha fumbo hilo gumu duniani.
Wataalamu , Wanasayansi na viongozi wengi wa dini wamekuwa wakitoa majibu yao kwa hisia au ndoto zao...
Sote tunajua, wenzetu hufa kila siku majumbani, mahospitali, ajalini , usingizini, n.k n.k...
Mimi na wewe pia tutakufa kwa namna ambayo hatuijui.
Baada ya binadamu kufa, je
1. Huzaliwa upya ?
2. Huenda kuishi mbingu nyingine kama kiumbe kingine ?
3. Akifa basi amekufa kama ilivyo kwa viumbe wengine, kwamba hakuna kinachoendelea?
Wanasayansi, wataalamu, wavumbuzi, watafiti mahiri na mashuhuri kutoka mataifa yote duniani wameshindwa kuja na jibu linaloeleweka la nini kinafuata baada ya binadamu kufariki dunia.
Hata viongozi wa dini wameshindwa kuthibitisha fumbo hilo gumu duniani.
Wataalamu , Wanasayansi na viongozi wengi wa dini wamekuwa wakitoa majibu yao kwa hisia au ndoto zao...
Sote tunajua, wenzetu hufa kila siku majumbani, mahospitali, ajalini , usingizini, n.k n.k...
Mimi na wewe pia tutakufa kwa namna ambayo hatuijui.
Baada ya binadamu kufa, je
1. Huzaliwa upya ?
2. Huenda kuishi mbingu nyingine kama kiumbe kingine ?
3. Akifa basi amekufa kama ilivyo kwa viumbe wengine, kwamba hakuna kinachoendelea?