Fundi kaniambia gharama zake za kujenga msingi 750,000 ni fair au ananipiga?

Fundi kaniambia gharama zake za kujenga msingi 750,000 ni fair au ananipiga?

Ni kwa ramani ya vyumba viwili sebule jiko na wash room.

Upana na urefu wa nyumba ni kama mita nane kwa saba na nusu.

Ila pesa ya fundi kaniambia ni 750,000. Sasa kabla sijazama, embu naombeni ushauri maa a mimi ndo mara yangu ya kwanza kujenga.

Hii ni fair ama napigwa? Msingi wenyewe unaweza kula tofali 700 hivi.

Halafu hivi wakiwa site chakula si huwa wanajitegemea wenyewe kutokana na hela yao ama vip?
kwa hizo idadi ya tofali, 750,000 ni nyingi, nyumba ya vitatu yenyewe huwa haifiki hiyo pesa. Hapo mpe 450,000/= kuchimba msingi, kujenga na kufunga mkanda
 
Ni kwa ramani ya vyumba viwili sebule jiko na wash room.

Upana na urefu wa nyumba ni kama mita nane kwa saba na nusu.

Ila pesa ya fundi kaniambia ni 750,000. Sasa kabla sijazama, embu naombeni ushauri maa a mimi ndo mara yangu ya kwanza kujenga.

Hii ni fair ama napigwa? Msingi wenyewe unaweza kula tofali 700 hivi.

Halafu hivi wakiwa site chakula si huwa wanajitegemea wenyewe kutokana na hela yao ama vip?
Hujapigwa..nyumba msingi.sasa ww kaweke msingi wa lak 2 kesho uje kulia humu. Halafu kaz za ujenz ngum nyie watu mnafikiri hatuumii hiz kaz ni bas tu njaa na dhiki zinatufanya tunafanya hizi kaz lakin sio kazi. Mm mwaka huu mlijapanga uwe mwsho kufanya hizi kaz kwanza huendelei unapata rizki yq kusavaivu tu mbele huendi nyuma huendi
Vile dili langu la somalia lilibuma tu
 
Ni kwa ramani ya vyumba viwili sebule jiko na wash room.

Upana na urefu wa nyumba ni kama mita nane kwa saba na nusu.

Ila pesa ya fundi kaniambia ni 750,000. Sasa kabla sijazama, embu naombeni ushauri maa a mimi ndo mara yangu ya kwanza kujenga.

Hii ni fair ama napigwa? Msingi wenyewe unaweza kula tofali 700 hivi.

Halafu hivi wakiwa site chakula si huwa wanajitegemea wenyewe kutokana na hela yao ama vip?
Mimi labor alikula milion point 15 hapo msingi na mkanda. Kunyanyua hati rinta na kozi tatu za juu akala milon 1.6. mashimo ya choo akala kama 450k
Nasubiri wa kuezeka january nione atakula ngap
 
Ni kwa ramani ya vyumba viwili sebule jiko na wash room.

Upana na urefu wa nyumba ni kama mita nane kwa saba na nusu.

Ila pesa ya fundi kaniambia ni 750,000. Sasa kabla sijazama, embu naombeni ushauri maa a mimi ndo mara yangu ya kwanza kujenga.

Hii ni fair ama napigwa? Msingi wenyewe unaweza kula tofali 700 hivi.

Halafu hivi wakiwa site chakula si huwa wanajitegemea wenyewe kutokana na hela yao ama vip?
Mimi nilijenga kwa 500,000/=

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Ni kwa ramani ya vyumba viwili sebule jiko na wash room.

Upana na urefu wa nyumba ni kama mita nane kwa saba na nusu.

Ila pesa ya fundi kaniambia ni 750,000. Sasa kabla sijazama, embu naombeni ushauri maa a mimi ndo mara yangu ya kwanza kujenga.

Hii ni fair ama napigwa? Msingi wenyewe unaweza kula tofali 700 hivi.

Halafu hivi wakiwa site chakula si huwa wanajitegemea wenyewe kutokana na hela yao ama vip?
Mara nyingi gharama huwa ni 20 to 30% ya material cost. Binafsi siwezi kukushauri hapo, maana sijui gharama za materials za msingi wako ni kiasi gani
 
Mbona bei kubwa zana hyo. Hyo ni kazi ya siku mbili tu anaimaliza. Hapo umepigwa kaka shida ya mafundi wana tamaa sana. Mimi huwa ukiniambia bei kubwa kupitiliza hata sitii neno nakwambia nenda nitakuita. Alaf nafunga vioo mazima.. yani watu kibao wako mtaani wanatafuta kazi alaf unapata kazi unampiga mtu bei kubwa hvi
Inatakiwaa iwee ngapi mkuu embu nipe matazamio
 
Tafuta mafundi kama watatu tofauti tofauti kila mmoja atakupa cost zake then wewe utaangalia yupi wa kumuamini na kumpa kazi maana wakati mwingine Quality ain't expensive ila Cheap can be.
 
Hujapigwa..nyumba msingi.sasa ww kaweke msingi wa lak 2 kesho uje kulia humu. Halafu kaz za ujenz ngum nyie watu mnafikiri hatuumii hiz kaz ni bas tu njaa na dhiki zinatufanya tunafanya hizi kaz lakin sio kazi. Mm mwaka huu mlijapanga uwe mwsho kufanya hizi kaz kwanza huendelei unapata rizki yq kusavaivu tu mbele huendi nyuma huendi
Vile dili langu la somalia lilibuma tu
Nenda msumbiji islamic state na alshabab wapo huko pia
 
Misingi inatofautiana mkuu kulingana na eneo lilivyo, na ukubwa wa vyumba, na pia misingi mingine mirefu mingine mifupi...mingine inafungwa mkanda mingine haifungwi..so kutaja bei tu hairishi kujua.
 
Nenda msumbiji islamic state na alshabab wapo huko pia
Mtoto wa mama umewaza maugaidi. Kiazi kweli kwanza mm sio musilam kama unawaza hvyo. Somali nlikua naenda kaz ya ulinzi. Kama una mchongo ata palestina au israel au afghanistan au south sudan nishtue popote watu tunaenda
kufa ni dk yoyote na popote na kuzikwa ni popote
 
Back
Top Bottom