Fundisho la Utatu haliingii akilini kabisa, mnaoamini mmetoa wapi mbona Biblia iko wazi kabisa?

Fundisho la Utatu haliingii akilini kabisa, mnaoamini mmetoa wapi mbona Biblia iko wazi kabisa?

Tomaa Mireni

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
2,395
Reaction score
2,391
Nasikitika sana kuona mtu anatetea fundisho la Utatu jambo ambalo ndani ya biblia halipo.

Upo ushahidi mwingi wa maandiko unaotofautisha Mungu, Yesu Kristo na Roho Takatifu ambayo waamini wa Utatu wanaita Roho Mtakatifu kama vile ni mtu. Je, Mungu anaonekana? Yesu alionekana, hakuna aliemuona Mungu hata Musa mwenyewe.

~ Andiko la Yoh 17:3 lina maana gani? Ikiwa Yesu ni Mungu?

~ Methali 8:30 ina maanisha nini?

~ Mwanzo 1:26 Mungu alikuwa akizungumza na nani?

Ningependa kupata majibu ya maandiko, jibu hoja kwa andiko ili tuamini unachosema. Maandiko yapo mengi sana yanayo tifautisha Mungu, Yesu na roho/nguvu ya Mungu ya utendaji.
 
Nasikitika sana kuona mtu anatetea fundisho la Utatu jambo ambalo ndani ya biblia halipo.
Upo ushahidi mwingi wa maandiko unaotofautisha Mungu, Yesu Kristo na roho takatifu ambayo waamini wa utatu wanaita roho mtakatifu kama vile ni mtu.
Je Mungu anaonekana? Yesu alionekana
Hakuna aliemuona Mungu hata Musa mwenyewe.
Andiko la Yoh 17:3 lina maana gani? Ikiwa Yesu ni Mungu?
Methali 8:30 ina maanisha nini?
Mwanzo 1:26 Mungu alikuwa akizungumza na nani?

Ningependa kupata majibu ya maandiko, jibu hoja kwa andiko ili tuamini unachosema.
Maandiko yapo mengi sana yanayo tifautisha Mungu, Yesu na roho/nguvu ya Mungu ya utendaji.
Hata huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
 
Uzuri ni kwamba haya mambo yapo practically
Kama ni jina la Yesu - kuna mapepo yanapiga kelele yakisikia jina hili
Kama ni Roho Mtakatifu - anadhirika katika maombi kwa uwazi ( kuna nguvu huja na msisimko na ndoto muda wa maombi - kwa wanaosali katika roho na sio mwilini)
Kama JEHOVAH (Baba) - Hauwezi ukamjua kama humjui Yesu na Roho mtakatifu

Ukimuita Allah atatoa ishara yoyote?
 
Inaoneka haujui utatu mtakatifu(MUNGU)
MUNGU ni kama raisi . U-Raisi umetengenezwa na vyeo vitatu raisi mwenyewe , makamu raisi na waziri mkuu
MUNGU imetengenezwa na vyeo vitatu
I - JEHOVAH (MUNGU Baba) yeye huwa haonekani
II - Yesu / Masihi ( MUNGU Mwana ) yeye ndiye kiumbe cha kwanza kuumbwa , ndo mana anajulikana kama kaka wa kila kilicho umbwa na ndiye yeye pia alishiriki katika uumbaji wa mbingu(malaika) na dunia(wanadamu)
III Roho Mtakatifu (MUNGU Roho) - Roho ya Mungu ina act kama kiumbe. Huja kwa maumbo mbalimbali - kama nguvu , kama mwanadamu , kama njiwa
 
Uzuri ni kwamba haya mambo yapo practically
Kama ni jina la Yesu - kuna mapepo yanapiga kelele yakisikia jina hili
Kama ni Roho Mtakatifu - anadhirika katika maombi kwa uwazi ( kuna nguvu huja na msisimko na ndoto muda wa maombi - kwa wanaosali katika roho na sio mwilini)
Kama JEHOVAH (Baba) - Hauwezi ukamjua kama humjui Yesu na Roho mtakatifu

Ukimuita Allah atatoa ishara yoyote?
Ni vitu tofauti au ni kimoja
 
Hakuna mtu mwenye majibu sahihi ya kukuaminisha , biblia pia haina majibu sahihi , cha msingi we mwabudu Mungu , kama we ni mkristo umeelekezwa ukiomba Kwa Mungu omba kupitia jina la Yesu , ukiona Una uhitaji wa Mungu kukusaidia jua huo ni ushawishi wa roho mtakatifu , fuata maelekezo , lakini kuanza kubishana sjui utatu mtakatifu , mara Yesu ni Mungu wala sio Mungu , utaishia kuwa confused...hakuna mwenye majibu sahihi labda Mungu mwenyewe ambaye Hana hata mpango wa kukuaminisha , yeye anasubiri Tu ufate maelekezo basi
 
Ni vitu tofauti au ni kimoja
MUNGU ni kama raisi . U-Raisi umetengenezwa na vyeo vitatu raisi mwenyewe , makamu raisi na waziri mkuu
MUNGU imetengenezwa na vyeo vitatu
I - JEHOVAH (MUNGU Baba / MUNGU Mwenyewe) yeye huwa haonekani
II - Yesu / Masihi ( MUNGU Mwana ) yeye ndiye kiumbe cha kwanza kuumbwa , ndo mana anajulikana kama kaka wa kila kilicho umbwa na ndiye yeye pia alishiriki katika uumbaji wa mbingu(malaika) na dunia(wanadamu)
III - Roho Mtakatifu (MUNGU Roho) - Roho ya Mungu ina act kama kiumbe. Huja kwa maumbo mbalimbali - kama nguvu , kama mwanadamu , kama njiwa , kama moto
 
Inaoneka haujui utatu mtakatifu(MUNGU)
MUNGU ni kama raisi . U-Raisi umetengenezwa na vyeo vitatu raisi mwenyewe , makamu raisi na waziri mkuu
MUNGU imetengenezwa na vyeo vitatu
I - JEHOVAH (MUNGU Baba) yeye huwa haonekani
II - Yesu / Masihi ( MUNGU Mwana ) yeye ndiye kiumbe cha kwanza kuumbwa mbinguni , ndo mana anajulikana kama kaka wa kila kilicho umbwa na ndiye yeye pia alishiriki katika uumbaji wa mbingu(malaika) na dunia(wanadamu)
III Roho Mtakatifu (MUNGU Roho) - Roho ya Mungu ina act kama kiumbe. Huja kwa maumbo mbalimbali - kama nguvu , kama mwanadamu , kama njiwa
Umepotea kidogo bosi, YEHOVA ni mwana wa Mungu,, sio Mungu mkuu🤷🏼‍♂️
 
Hakuna mtu mwenye majibu sahihi ya kukuaminisha , biblia pia haina majibu sahihi , cha msingi we mwabudu Mungu , kama we ni mkristo umeelekezwa ukiomba Kwa Mungu omba kupitia jina la Yesu , ukiona Una uhitaji wa Mungu kukusaidia jua huo ni ushawishi wa roho mtakatifu , fuata maelekezo , lakini kuanza kubishana sjui utatu mtakatifu , mara Yesu ni Mungu wala sio Mungu , utaishia kuwa confused...hakuna mwenye majibu sahihi labda Mungu mwenyewe ambaye Hana hata mpango wa kukuaminisha , yeye anasubiri Tu ufate maelekezo basi
Umenena vema
 
MUNGU ni kama raisi . U-Raisi umetengenezwa na vyeo vitatu raisi mwenyewe , makamu raisi na waziri mkuu
MUNGU imetengenezwa na vyeo vitatu
I - JEHOVAH (MUNGU Baba / MUNGU Mwenyewe) yeye huwa haonekani
II - Yesu / Masihi ( MUNGU Mwana ) yeye ndiye kiumbe cha kwanza kuumbwa mbinguni , ndo mana anajulikana kama kaka wa kila kilicho umbwa na ndiye yeye pia alishiriki katika uumbaji wa mbingu(malaika) na dunia(wanadamu)
III - Roho Mtakatifu (MUNGU Roho) - Roho ya Mungu ina act kama kiumbe. Huja kwa maumbo mbalimbali - kama nguvu , kama mwanadamu , kama njiwa
Poleni sana
Umepotea kidogo bosi, YEHOVA ni mwana wa Mungu,, sio Mungu mkuu🤷🏼‍♂️
 
Umepotea kidogo bosi, YEHOVA ni mwana wa Mungu,, sio Mungu mkuu🤷🏼‍♂️
JEHOVAH ni MUNGU Baba na sio Yesu (MUNGU Mwana).
MUNGU alimwambia Musa amwite JEHOVAH . Na Musa hakuwahi kuiona sura ya MUNGU , kwa hiyo huyo ndiye MUNGU Baba - haonekani
 
Hata huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
Inaoneka haujui utatu mtakatifu(MUNGU)
MUNGU ni kama raisi . U-Raisi umetengenezwa na vyeo vitatu raisi mwenyewe , makamu raisi na waziri mkuu
MUNGU imetengenezwa na vyeo vitatu
I - JEHOVAH (MUNGU Baba) yeye huwa haonekani
II - Yesu / Masihi ( MUNGU Mwana ) yeye ndiye kiumbe cha kwanza kuumbwa mbinguni , ndo mana anajulikana kama kaka wa kila kilicho umbwa na ndiye yeye pia alishiriki katika uumbaji wa mbingu(malaika) na dunia(wanadamu)
III Roho Mtakatifu (MUNGU Roho) - Roho ya Mungu ina act kama kiumbe. Huja kwa maumbo mbalimbali - kama nguvu , kama mwanadamu , kama njiwa
how can you compare GOD with uraisi makamu uraisi and wazir mkuu?? why do u dare to compare the 3 coexisting , the 3 uncreated one, the 3 alfa and omega , the 3 omnscience, the 3 ompresent, the 3 omnpotent with mortal things??
 
how can you compare GOD with uraisi makamu uraisi and wazir mkuu?? why do u dare to compare the 3 coexisting , the 3 uncreated one, the 3 alfa and omega , the 3 omnscience, the 3 ompresent, the 3 omnpotent with mortal things??
Kwa sababu , hakuna jipya chini ya jua.
Yote tunayoyafanya ni remix
Serikali / Utawala / Madaraka yameanzia mbinguni

Kuheshimu cheo cha chini , kabla ya cha juu kabisa - yameanzia mbinguni
 
Hakuna mtu mwenye majibu sahihi ya kukuaminisha , biblia pia haina majibu sahihi , cha msingi we mwabudu Mungu , kama we ni mkristo umeelekezwa ukiomba Kwa Mungu omba kupitia jina la Yesu , ukiona Una uhitaji wa Mungu kukusaidia jua huo ni ushawishi wa roho mtakatifu , fuata maelekezo , lakini kuanza kubishana sjui utatu mtakatifu , mara Yesu ni Mungu wala sio Mungu , utaishia kuwa confused...hakuna mwenye majibu sahihi labda Mungu mwenyewe ambaye Hana hata mpango wa kukuaminisha , yeye anasubiri Tu ufate maelekezo basi
Kwa hiyo kimsingi unasema amini tu, hata kama unachoamini ni uongo?
 
Nasikitika sana kuona mtu anatetea fundisho la Utatu jambo ambalo ndani ya biblia halipo.
Upo ushahidi mwingi wa maandiko unaotofautisha Mungu, Yesu Kristo na roho takatifu ambayo waamini wa utatu wanaita roho mtakatifu kama vile ni mtu.
Je Mungu anaonekana? Yesu alionekana
Hakuna aliemuona Mungu hata Musa mwenyewe.
Andiko la Yoh 17:3 lina maana gani? Ikiwa Yesu ni Mungu?
Methali 8:30 ina maanisha nini?
Mwanzo 1:26 Mungu alikuwa akizungumza na nani?

Ningependa kupata majibu ya maandiko, jibu hoja kwa andiko ili tuamini unachosema.
Maandiko yapo mengi sana yanayo tifautisha Mungu, Yesu na roho/nguvu ya Mungu ya utendaji.
anzia msitari wa 16 apo uliposema n mzaliwa wa kwanza ,, endelea 17 na 18 anaposema katika KRISTO vitu vyote viliumbwa( kama aliumba vitu vyote yeye aliumbwa na nini sasa hutaona hakuumbwa) maana anaendelea mbele kuseama YEYE amekuwepo kabla ya vitu vyote na tena pasipo YESU KRISTO hakuna kilichoumbwa na kilichokuwepo kabla yake lbda kama lengo lako ni kutete mashaidi wa YEHOVA ...lkn kaa ukijua kuna wa 3 washuhidiao mbinguni tena wote ni MUNGU wenye kujua yote, wenye nguvu zote zisizo na ukomo, wenye kuwapo kila sehem kwa wakat mu1.
 

Attachments

  • Screenshot_20221224-134141_Biblia Takatifu.jpg
    Screenshot_20221224-134141_Biblia Takatifu.jpg
    170.6 KB · Views: 23
Back
Top Bottom