Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,395
- 2,391
Nasikitika sana kuona mtu anatetea fundisho la Utatu jambo ambalo ndani ya biblia halipo.
Upo ushahidi mwingi wa maandiko unaotofautisha Mungu, Yesu Kristo na Roho Takatifu ambayo waamini wa Utatu wanaita Roho Mtakatifu kama vile ni mtu. Je, Mungu anaonekana? Yesu alionekana, hakuna aliemuona Mungu hata Musa mwenyewe.
~ Andiko la Yoh 17:3 lina maana gani? Ikiwa Yesu ni Mungu?
~ Methali 8:30 ina maanisha nini?
~ Mwanzo 1:26 Mungu alikuwa akizungumza na nani?
Ningependa kupata majibu ya maandiko, jibu hoja kwa andiko ili tuamini unachosema. Maandiko yapo mengi sana yanayo tifautisha Mungu, Yesu na roho/nguvu ya Mungu ya utendaji.
Upo ushahidi mwingi wa maandiko unaotofautisha Mungu, Yesu Kristo na Roho Takatifu ambayo waamini wa Utatu wanaita Roho Mtakatifu kama vile ni mtu. Je, Mungu anaonekana? Yesu alionekana, hakuna aliemuona Mungu hata Musa mwenyewe.
~ Andiko la Yoh 17:3 lina maana gani? Ikiwa Yesu ni Mungu?
~ Methali 8:30 ina maanisha nini?
~ Mwanzo 1:26 Mungu alikuwa akizungumza na nani?
Ningependa kupata majibu ya maandiko, jibu hoja kwa andiko ili tuamini unachosema. Maandiko yapo mengi sana yanayo tifautisha Mungu, Yesu na roho/nguvu ya Mungu ya utendaji.