Fortyseven
JF-Expert Member
- Oct 30, 2020
- 1,129
- 2,142
Mungu hayupo over kanywe bia sasa ufurah ....mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna MUNGU😇😇🤕😷Ndiyo umemaliza hapo?
Uumbaji ni nini na unathibitishaje Mungu huyo yupo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu hayupo over kanywe bia sasa ufurah ....mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna MUNGU😇😇🤕😷Ndiyo umemaliza hapo?
Uumbaji ni nini na unathibitishaje Mungu huyo yupo?
Ukristo hauna mafundisho haya, unapotosha.Inaoneka haujui utatu mtakatifu(MUNGU)
MUNGU ni kama raisi . U-Raisi umetengenezwa na vyeo vitatu raisi mwenyewe , makamu raisi na waziri mkuu
MUNGU imetengenezwa na vyeo vitatu
I - JEHOVAH (MUNGU Baba) yeye huwa haonekani
II - Yesu / Masihi ( MUNGU Mwana ) yeye ndiye kiumbe cha kwanza kuumbwa mbinguni , ndo mana anajulikana kama kaka wa kila kilicho umbwa na ndiye yeye pia alishiriki katika uumbaji wa mbingu(malaika) na dunia(wanadamu)
III Roho Mtakatifu (MUNGU Roho) - Roho ya Mungu ina act kama kiumbe. Huja kwa maumbo mbalimbali - kama nguvu , kama mwanadamu , kama njiwa
We dhehebu gani? Mara yako ya mwisho kufungua biblia ni lini?Ukristo hauna mafundisho haya, unapotosha.
Kwamba ninahitaji kuwa na dhehebu ndiyo nijue upotofu katika unachokiandika?We dhehebu gani? Mara yako ya mwisho kufungua biblia ni lini?
Na wapi nilipo potosha?
Jibu swali ili nijue , nianzie wapi kukueleweshaKwamba ninahitaji kuwa na dhehebu ndiyo nijue upofu katika unachokiandika?
Dhehebu langu linahusianaje?. Hivi biblia inabadilika kulingana na dhehebu ama kanisa unalosali?.Jibu swali ili nijue , nianzie wapi kukuelewesha
Ndio nimemaliza, mpangilio huu wa ulimwengu lazima una mwanzo, au mbunifu aliyefanya hiyo kazi, bila shaka ni Mungu hakuna anayeweza kufanya aliyofanyaNdiyo umemaliza hapo?
Uumbaji ni nini na unathibitishaje Mungu huyo yupo?
aliumbwa na nini Huyo yesu wa mashaidi wa yehova maana huyu wa yohana 1 :1 -3 biblia inasema pasipo YEYE hakikufanyika chochoteNasikitika sana kuona mtu anatetea fundisho la Utatu jambo ambalo ndani ya biblia halipo.
Upo ushahidi mwingi wa maandiko unaotofautisha Mungu, Yesu Kristo na roho takatifu ambayo waamini wa utatu wanaita roho mtakatifu kama vile ni mtu.
Je Mungu anaonekana? Yesu alionekana
Hakuna aliemuona Mungu hata Musa mwenyewe.
Andiko la Yoh 17:3 lina maana gani? Ikiwa Yesu ni Mungu?
Methali 8:30 ina maanisha nini?
Mwanzo 1:26 Mungu alikuwa akizungumza na nani?
Ningependa kupata majibu ya maandiko, jibu hoja kwa andiko ili tuamini unachosema.
Maandiko yapo mengi sana yanayo tifautisha Mungu, Yesu na roho/nguvu ya Mungu ya utendaji.
UmemalizaUzuri ni kwamba haya mambo yapo practically
Kama ni jina la Yesu - kuna mapepo yanapiga kelele yakisikia jina hili
Kama ni Roho Mtakatifu - anadhirika katika maombi kwa uwazi ( kuna nguvu huja na msisimko na ndoto muda wa maombi - kwa wanaosali katika roho na sio mwilini)
Kama JEHOVAH (Baba) - Hauwezi ukamjua kama humjui Yesu na Roho mtakatifu
Ukimuita Allah atatoa ishara yoyote?
Shenzi type . We sio MkristoDhehebu langu linahusianaje?. Hivi biblia inabadilika kulingana na dhehebu ama kanisa unalosali?.
We jibu kwa mujibu wa biblia na sio kwa mujibu wa dhehebu ama kanisa
Kuna haja gani ya kuwa na majina tofauti ili hali ni mtu huyo huyo? Kwani Yesu au YEHOVA?anzia msitari wa 16 apo uliposema n mzaliwa wa kwanza ,, endelea 17 na 18 anaposema katika KRISTO vitu vyote viliumbwa( kama aliumba vitu vyote yeye aliumbwa na nini sasa hutaona hakuumbwa) maana anaendelea mbele kuseama YEYE amekuwepo kabla ya vitu vyote na tena pasipo YESU KRISTO hakuna kilichoumbwa na kilichokuwepo kabla yake lbda kama lengo lako ni kutete mashaidi wa YEHOVA ...lkn kaa ukijua kuna wa 3 washuhidiao mbinguni tena wote ni MUNGU wenye kujua yote, wenye nguvu zote zisizo na ukomo, wenye kuwapo kila sehem kwa wakat mu1.
Yesu ndio kiumbe wa kwanza kuumbwa baada ya yeye vitu vyote vikaumbwa kupitia yeyealiumbwa na nini Huyo yesu wa mashaidi wa yehova maana huyu wa yohana 1 :1 -3 biblia inasema pasipo YEYE hakikufanyika chochote
na unaposema nini maana ya yohana 17..3 nenda soma mpaka msitari wa 5 anaposema sasa unitukuze mimi pamoja nawe kwa utukufu ule niliokuwa nao kabla ya ulimwengu kuwako,,, lbda kama hujui maana ya ulimwengu ni dunia sayar zote mbalamwez zote vacuum zote living and non living things before any living and non living thing the 3 coexsting powers were there🙄🙄🤒Nasikitika sana kuona mtu anatetea fundisho la Utatu jambo ambalo ndani ya biblia halipo.
Upo ushahidi mwingi wa maandiko unaotofautisha Mungu, Yesu Kristo na roho takatifu ambayo waamini wa utatu wanaita roho mtakatifu kama vile ni mtu.
Je Mungu anaonekana? Yesu alionekana
Hakuna aliemuona Mungu hata Musa mwenyewe.
Andiko la Yoh 17:3 lina maana gani? Ikiwa Yesu ni Mungu?
Methali 8:30 ina maanisha nini?
Mwanzo 1:26 Mungu alikuwa akizungumza na nani?
Ningependa kupata majibu ya maandiko, jibu hoja kwa andiko ili tuamini unachosema.
Maandiko yapo mengi sana yanayo tifautisha Mungu, Yesu na roho/nguvu ya Mungu ya utendaji.
Kwa sababu kila mmoja ameelezewa vizuri ndani ya biblia, Mungu asingeweza kujito mwenye kuja duniani kuadhibiwa na wanadamu, hii ni dharau hata malaika wangemchekaEleza nini kinafanya utatu usiinge akilini?.
kwa kusema hv bas n dhahiri ivo vitu ( materias) vilivotumika kumuumba yesu wa mashaidi wa yehova vilikuwepo kabla yake na tena huyo yesu wa mchongo wa mashahid wa yehova sio alfa na omega kama inavosema ufunuo wa yohana 1 fungu la 8Yesu ndio kiumbe wa kwanza kuumbwa baada ya yeye vitu vyote vikaumbwa kupitia yeye
SawaShenzi type . We sio Mkristo
Upo ki-ubishani na sio kutaka kulewa usipo paelewa
Usipende kulazimisha maana ya biblia iende unavyotaka, kwa hiyo mstari huyo una maana ganina unaposema nini maana ya yohana 17..3 nenda soma mpaka msitari wa 5 anaposema sasa unitukuze mimi pamoja nawe kwa utukufu ule niliokuwa nao kabla ya ulimwengu kuwako,,, lbda kama hujui maana ya ulimwengu ni dunia sayar zote mbalamwez zote vacuum zote living and non living things before any living and non living thing the 3 coexsting powers were there🙄🙄🤒
Upumbavu kuweza kuwapo nao ni uthibitisho kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Mungu hayupo over kanywe bia sasa ufurah ....mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna MUNGU[emoji56][emoji56][emoji856][emoji40]