Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Nipe andiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe andiko
Hivyo unakubari kuwa YESU/MASIHA ni msaidiz wa MUNGU/YEHOVAUpo sahihi
Hata huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Kama unabisha, thibitisha yupo.
Hata kama kweli sina akili, hilo bado linathibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Hata na wewe Akili huna kama unabisha thibitisha kama unazo
Muulize yeye ana akili, akisema anayo mwambie athibitisheAnatibitishwa kutokana na uumbaji
Hata kama kweli sina akili, hilo bado linathibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Kwa sababu, angekuwepo, kwa uwezo wake, ujuzi wake na upendo wake mkuu, angefanya kila mtu awe na akili.
Kwa hivyo, ikiwa kweli sina akili, hilo nalo linathibitisha Mungu hayupo.
Bikira Maria alipata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakifu ,Hivyo unakubari kuwa YESU/MASIHA ni msaidiz wa MUNGU/YEHOVA
na alimleta DUNIANI ili kutukomboa sisi tuliokuwa tumepotea , kwa kumfanya BIKIRA MARIA kupata MIMBA kwa uwezo wake JEHOVA/MUNGU kwa maana yesu akazariwa bila BABA
Mara yesu ndiye mungu mkuu muumbaji,mbona hamueleweki,huyo yehova hamjawahi hata kumuomba,mnamuomba yesu tu na ndiye kila kituJEHOVAH ni MUNGU Baba na sio Yesu (MUNGU Mwana).
MUNGU alimwambia Musa amwite JEHOVAH . Na Musa hakuwahi kuiona sura ya MUNGU , kwa hiyo huyo ndiye MUNGU Baba - haonekani
Hujathibitisha Mungu yupo.Hicho ni KIBURI CHA ![emoji12]
Kama Hana akili hawezi kuthibitishiwa Mungu na Wala hawezi kueleweSasa kama huna akili utathibitisha vp kama Mungu hayupo nawe huna akili?
Na pia kukosa kwako Akili ndio uthibitisho kua Mungu mwenye enzi yupoHata kama kweli sina akili, hilo bado linathibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Kwa sababu, angekuwepo, kwa uwezo wake, ujuzi wake na upendo wake mkuu, angefanya kila mtu awe na akili.
Kwa hivyo, ikiwa kweli sina akili, hilo nalo linathibitisha Mungu hayupo.
Nakwambia hivi, mtu yeyote kukosa akili ni uthibitisho Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.Sasa kama huna akili utathibitisha vp kama Mungu hayupo nawe huna akili?
Unalazimisha mpaka aibu naona mimi.Na pia kukosa kwako Akili ndio uthibitisho kua Mungu mwenye enzi yupo
Wewe mwenyewe ndiyo huelewiMara yesu ndiye mungu mkuu muumbaji,mbona hamueleweki,huyo yehova hamjawahi hata kumuomba,mnamuomba yesu tu na ndiye kila kitu
Nakwambia hivi, mtu yeyote kukosa akili ni uthibitisho Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.
Angekuwepo angegawa akili kwa kila mtu bila uchoyo.
Umeelewa?
Basi kama Mungu anathibitishwa na Uumbaji Uungu wa Yesu unathibitishwa na Yohana 1:10Anatibitishwa kutokana na uumbaji
Naisikia na kuisoma hiyo Imani tangu 1990s mlipokua mkituletea biblia na majarida shuleni,yaani nielewe advanced mathematics nisielewe utatu!!..zamani yesu hakuitwa mungu,si walokole Wala Roma,nawajua wote sababu walokole wakifanyia ibada zao shuleni na Roma nimeingia Sana na Nina rafiki wengi,hapa kati 2000 ndiyo yesu kawa mungu na ndiye anayeoombwa na hata mapepo yanamuogopa yakisikia tu jina,hata msamaha anaombwa yesu,awali ilikua mungu baba,mwana na roho mtakatifu,siku hizi mungu mwana na baba ni kitu kimojaWewe mwenyewe ndiyo huelewi
Kutokana haupo kujifunza , bali kutaka kubisha
Weka kwana utayari wa kujifunza , ndipo utelewa.
Ukitaka Bablishi , tema kwanza karanga zilizo mdomoni
Unalazimisha mpaka aibu naona mimi.