Fundisho la Utatu haliingii akilini kabisa, mnaoamini mmetoa wapi mbona Biblia iko wazi kabisa?

Fundisho la Utatu haliingii akilini kabisa, mnaoamini mmetoa wapi mbona Biblia iko wazi kabisa?

I agree. Jesus is not God. He is the son of God. Jesus never claimed to be God. He said always that he is the son that was sent by the Father. The council of nicea lied to christians.
 
Naisikia na kuisoma hiyo Imani tangu 1990s mlipokua mkituletea biblia na majarida shuleni,yaani nielewe advanced mathematics nisielewe utatu!!..zamani yesu hakuitwa mungu,si walokole Wala Roma,nawajua wote sababu walokole wakifanyia ibada zao shuleni na Roma nimeingia Sana na Nina rafiki wengi,hapa kati 2000 ndiyo yesu kawa mungu na ndiye anayeoombwa na hata mapepo yanamuogopa yakisikia tu jina,hata msamaha anaombwa yesu,awali ilikua mungu baba,mwana na roho mtakatifu,siku hizi mungu mwana na baba ni kitu kimoja
Haya ni mambo ya kiroho na sio ya kimwili.
Unaweza ukaelewa rocket science , ila MUNGU asitake umjue

Luka 10 : 21 " Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya umewaficha wenye hekima na akili; umewafunulia watoto wachanga; Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza. "

Yohana 1 : 1-14 " Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu .....
 
Nasikitika sana kuona mtu anatetea fundisho la Utatu jambo ambalo ndani ya biblia halipo.

Upo ushahidi mwingi wa maandiko unaotofautisha Mungu, Yesu Kristo na Roho Takatifu ambayo waamini wa Utatu wanaita Roho Mtakatifu kama vile ni mtu. Je, Mungu anaonekana? Yesu alionekana, hakuna aliemuona Mungu hata Musa mwenyewe.

~ Andiko la Yoh 17:3 lina maana gani? Ikiwa Yesu ni Mungu?

~ Methali 8:30 ina maanisha nini?

~ Mwanzo 1:26 Mungu alikuwa akizungumza na nani?

Ningependa kupata majibu ya maandiko, jibu hoja kwa andiko ili tuamini unachosema. Maandiko yapo mengi sana yanayo tifautisha Mungu, Yesu na roho/nguvu ya Mungu ya utendaji.
Achana na haya mambo utashikwa na njaa.
 
Hakuna aibu wewe ni mgumu kuelewa Kiranga halafu unashangaza sana kwanini unashikila hoja ya kukosa kwako akili ndio iwe dalili ya kutokuwepo Mungu Mwenye enzi isiwe ndio dalili ya KUWEPO MUNGU MWENYE ENZI NA UPENDO?
Wewe huna uwezo wa kuelewa a simple logical argument kwa hivyo sioni faida kujadiliana nawe.

Unapenda kujadiliana lakini huwezi.

Nakuelezea a simple flow of logical propositions na conclusion lakini huelewi.

1. Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hana uchoyo, anagawa mazuri na hagawi mabaya.

2. Mtu kukosa akili ni kitu kibaya.

3. Mungu huyo hataumba ulimwengu unaoruhusu mtu kukosa akili.

4. Hivyo, tukiona mtu amekosa akili, hilo linamaanisha Mungu huyo hayupo.

5. Tunaona watu wamekisa akili.

6. Hivyo, Mungu huyo hayupo.

Sasa hapo kipi kigumu kuelewa?
 
Haya ni mambo ya kiroho na sio ya kimwili.
Unaweza ukaelewa rocket science , ila MUNGU asitake umjue

Luka 10 : 21 " Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya umewaficha wenye hekima na akili; umewafunulia watoto wachanga; Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza. "

Yohana 1 : 1-14 " Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu .....
Kwa hiyo mungu kachagua nani amuelewe na nani asimuelewe!?..huo msitari wa neno na mungu,kwenye mungu weka neno uone unapata nini!!
 
Kwa hiyo si kosa' kwa wasiomuelewa,wakafanya maovu,huyo mungu wako Hana tatizo na Hilo!?
Ni kwa sababu ya ugumu ulio jiwekea moyoni wa kutotaka kumtafuta ,
MUNGU hakufanyi ufanye dhambi ili uwende motoni , ila anakuruhusu utende dhambi , ili upate matakeo yako
 
Ni kwa sababu ya ugumu ulio jiwekea moyoni wa kutotaka kumtafuta ,
MUNGU hakufanyi ufanye dhambi ili uwende motoni , ila anakuruhusu utende dhambi , ili upate matakeo yako
Umesema mungu kachagua nani amuelewe nani asimuelewe,Sasa sisi ambao kaamua tusimuelewe hatujui dhambi ni ipi na ipi siyo,kwa hiyo hatuna lawama kwa mungu,Wacha kuzunguka
 
Umesema mungu kachagua nani amuelewe nani asimuelewe,Sasa sisi ambao kaamua tusimuelewe hatujui dhambi ni ipi na ipi siyo,kwa hiyo hatuna lawama kwa mungu,Wacha kuzunguka
Fanya unacho jisikia.
Kwa sababu utahukumiwa kwa wazo lako.
 
Nasikitika sana kuona mtu anatetea fundisho la Utatu jambo ambalo ndani ya biblia halipo.

Upo ushahidi mwingi wa maandiko unaotofautisha Mungu, Yesu Kristo na Roho Takatifu ambayo waamini wa Utatu wanaita Roho Mtakatifu kama vile ni mtu. Je, Mungu anaonekana? Yesu alionekana, hakuna aliemuona Mungu hata Musa mwenyewe.

~ Andiko la Yoh 17:3 lina maana gani? Ikiwa Yesu ni Mungu?

~ Methali 8:30 ina maanisha nini?

~ Mwanzo 1:26 Mungu alikuwa akizungumza na nani?

Ningependa kupata majibu ya maandiko, jibu hoja kwa andiko ili tuamini unachosema. Maandiko yapo mengi sana yanayo tifautisha Mungu, Yesu na roho/nguvu ya Mungu ya utendaji.
Hayo mafundisho yalianza kufundishwa miaka 50 baada ya Yesu kupaa mbinguni

Wakati hayo mafundisho yanaanza marafiki zake Yesu wa utotoni ambao walicheza nae kombolela mitaa ya Galilaya walikuwa Bado wapo wakawa wanawashangaa wakristo jinsi walivyoingizwa Chaka

Na ndio maana waisrael hiyo dini ya ukristo hawataki hata kuisikia maana wanajua kuwa ni uongo mtupu

The religious affiliation of the Israeli population as of 2019 was 74.2% Jewish, 17.8% Muslim, 2.0% Christian, and 1.6% Druze. The remaining 4.4% included faiths such as
 
Waamini utatu wote mnashida ya akili kichwani nijibuni hapa
1.kati ya Mungu baba na Yesu nani ni mkuu
2.Ikiwa Yesu na Mungu wapo sawa iweje asijue habari za siku za mwisho ila baba tu
3.Ikiwa wapo sawa iweje mwingine amtume mwingine na awe answerable kwake?
 
Na ndio maana waisrael hiyo dini ya ukristo hawataki hata kuisikia maana wanajua kuwa ni uongo mtupu
Wana wa Israel, sorry Israel ni nani? Yakobo?

The religious affiliation of the Israeli population as of 2019 was 74.2% Jewish, 17.8% Muslim, 2.0% Christian, and 1.6% Druze
Chanzo Yesu kuitwa Mungu,

Waisrael hawajakisahau kilichowapa kule jangwani walipitishi nyoka wenye sumu kali na Mungu alitaka awafyeke wote wasiomuamini, kwa hio Mungu ni Yesu? Yule aliewashughulikia waisreal jangwani miaka 40 ni Yesu? Ndio maana wakagoma wakaona wabaki na Torah yao tu, wasijisumbua na wakina Paulo
 
Hoja yako ya kwamba mpangilio huu lazima una mwanzo, na bila shaka mwanzo huo ni Mungu ina mapungufu mengi.

Kwanza umelazimisha kwa kuweka "bila shaka" bila kuelezea kwa nini iwe "bila shaka".

Una hakika gani chanzo cha ulimwengu huu ni Mungu?

Ulimwengu kulazimika kuwa na chanzo haina maana kwamba chanzo ni lazima kiwe Mungu.

Yani ni hivi, wewe muafrika kulazimika kuwa na baba, kwamba haiwezekani uwepo bila kuwa na baba mzazi, haimaanishi automatically baba yako ni Donald Trump aliyekuwa rais wa Marekani, mzungu.

Hoja uliyoitoa hapo ni sawa na kusema kwamba wewe muafrika, baba yako mzazi ni Donald Trump, mzungu. Kwa sababu wewe ni lazima uwe na baba.

Hata kama ni lazima uwe na baba, hilo halithibitishi baba yako ni Donald Trump. Thibitisha baba yako ni Donald Trump.

Hata kama ulimwengu ni lazima uwe na mwanzo, hilo halimaanishi mwanzo wake ni lazima uwe Mungu. Thibitisha mwanzo wake ni Mungu, usilazimishe hili kwa nguvu tu.

Hili la kwanza.

La pili,

Ukisema kitu chochote chenye mpangilio/complexity ni lazima kiwe na muumbaji, kimsingi unajiwekea mtego wa kuulizwa na Mungu naye ni complex, hivyo naye lazima atakuwa na muumbaji, na muumbaji wake naye ana muumbaji, na muumbaji wake ana muumbaji, ad infinitum, ad nauseam.

Yani ukishasema kila kilicho na mpangilio na complexity kinahitaji muumba, umeshakubali hakuna Mungu. Kwa sababu kila Mungu utakayemuweka atahitaji kuwa ameumbwa na Mungu/ kitu kingine, na akishaumbwa na Mungu au kitu kingine tu, anakuwa si Mungu.

Kwa hivyo, hii hoja ya kusema kwamba mpangilio wa dunia unathibitisha kuna Mungu, ni hoja ambayo inaweza kuonekana ya maana kwa mtu asiyefikiri kwa kina tu.

Kwa mtu anayefikiri kwa kina hii si hoja ya kutetea uwepo wa Mungu.

Kwa mtu anayefikiri kwa kina, hii hoja inaonesha Mungu muumba vyote hawezi kuwapo.
Uumbaji umetokana na nini?
 
Kumbe fundisho haliingii akilini!
Soma hapa liingie Akilini kabla hujafa!
[emoji116][emoji116]
2.NAFSI TATU ZA MUNGU KATIKA BIBLIA

Katika MWANZO 1:1, tunaona hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Neno hili kwa kiebrania linaitwa ELOHIM Mwenye nguvu. Neno hili linatajwa katika Agano la kale pekee yake mara elfu mbili mia saba ( 2700 ).Sasa tuaangalia mifano ya matumizi ya dhahiri yanayoonyesha wingi katika UMOJAwa Mungu. MWANZO 1:26; MWANZO 3:22; MWANZO 11:5-7, wingi huo unaojitokeza pia katika kila kitabu cha Agano Jipya

IFUATAYO NI MISTERI AMBAYO MAHALI PAMOJA WAMETAJWA, BABA, MWANA, ROHO MTAKATIFU, IKIONYESHA WAZI KUWA NI NAFSI TATU TOFAUTI.

( MATHAYO 3:16-17; MATHAYO 28:19; YOHANA 14:16-17; MARKO 1:10-11; LUKA 1:32-35; LUKA 24:49; MATENDO 1:7-8; MATENDO 7:55-56; MATENDO 10:38-40; WAEFESO 3:14-17; 1WATHESALONIKE 1:1-5; 1PETRO 1:2-3; 1YOHANA 5:7-8; YUDA 1:20-21; UFUNUO 1:4-6 ).

Ifuatayo tena ni mistari ambayo mahali pamoja wametajwa Baba na Mwana au

Baba na Roho Mtakatifu au Mwana na Roho Mtakatifu ikionyesha wazi kuwa ni nafsi tatu tofauti. ( MARKO 13:32; YOHANA 1:18; YOHANA 5:17, 19-23; 1 WAKORINTHO 1:4; 1 WAKORINTHO 2:10; 1WAKORINTHO 1:2-3; WAGALATIA 1:1-4; WAFILIPI 1:1-3; WAFILIPI 1:2; WAFILIPI 2:9-11; WAKOLOSAI 1:2-3; WAKOLOSAI 3:1; 1WATHESALONIKE 3:13; 2WATHESALONIKE 1:1-2; 2WATHESALONIKE 2:16; 1TIMOTHEO 1:2; 2TIMOTHEO 1:2; 2TIMOTHEO 4:1; TITO 1:4; WAFILIPI 1:3; WAEBRANIA 1:5; WAEBRANIA 13:20; YAKOBO 1:1; 2YOHANA 1:3; UFUNUO 2:7; UFUNUO 21:22-23; UFUNUO 22:1-3 ).
Mathayo 3:16, 17 inakuumbua, inawezekana vip mungu huyo ajisemee mwenyewe huyu ni mwanangu mpendwa kwanini asengesema Mimi mungu wenu mpendwa nipokeeni.....?!!
 
Naisikia na kuisoma hiyo Imani tangu 1990s mlipokua mkituletea biblia na majarida shuleni,yaani nielewe advanced mathematics nisielewe utatu!!..zamani yesu hakuitwa mungu,si walokole Wala Roma,nawajua wote sababu walokole wakifanyia ibada zao shuleni na Roma nimeingia Sana na Nina rafiki wengi,hapa kati 2000 ndiyo yesu kawa mungu na ndiye anayeoombwa na hata mapepo yanamuogopa yakisikia tu jina,hata msamaha anaombwa yesu,awali ilikua mungu baba,mwana na roho mtakatifu,siku hizi mungu mwana na baba ni kitu kimoja
Jina la Yesu sasa limegeuzwa kua ni biashara kubwa sana inayowalipa watu na kuwatajirisha kupitia wajinga wengi wasioujua ukweli kua Mungu ni nani na Yesu ni nani? Kuna tofauti gani iliyopo kati ya Yesu na Mungu? Kwanini wanadamu wamechagua kumuona Yesu ndie Mungu wao na kumuacha Mungu Mkuu? Kwanin wanadamu wamechagua kumtumia Yesu km njia ya kumfikia Mungu?

Alisema "Mimi ndimi njia ya uzima, hakuna anaekuja kwa Baba isipokua kupitia mimi"

Na wajanja wanautumia vizuri huo msitari utawasiki "Kwa Jina la Yesu Pepo toka kwa Jina la Yesu Fire Fire Abrafabadala Abdaharafabadabala Fabadabarabashaba....."

Sasa huyu Baba ni nani km Yesu ni Mungu?
 
T

Tofautisha vyeo na majina
JEHOVAH (MUNGU Baba) - hukaa katika kiti cha enzi , - yeye ndiye natoa order kwa Yesu
Yesu(MUNGU Mwana) - yeye hukaa katika kiti kilicho upande wa kulia wa kiti cha enzi, hupokea order kutoka kwa MUNGU Baba na kumpa Roho Mtakatifu . Yesu ndiye atahukumu dunia siku ya mwisho atakaporudi duniani na kufua wafu(Messiah)
Roho Mtakatifu - Yeye aliletwa duniani baada ya Yesu , kuaondoka duniani. Anapokea order kutoka kwa Yesu
 
Back
Top Bottom