Fundisho la Utatu haliingii akilini kabisa, mnaoamini mmetoa wapi mbona Biblia iko wazi kabisa?

Fundisho la Utatu haliingii akilini kabisa, mnaoamini mmetoa wapi mbona Biblia iko wazi kabisa?

Bikira Maria alipata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakifu ,
Mathayo 1 : 18 " Basi, hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa: Maria, mama yake, alikuwa ameposwa na Yosefu. Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume na mke, alionekana kuwa mjamzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. "
Kwa hiyo Yesu alimsaidia mama yake apate mimba yake mwenyewe?
 
Mimi nina SIMULIZI ya jamaa aliyefanya kila aina ya miujiza kumtafuta MUNGU akihusisha UCHAWI wa aina wote ulopata kuhusikia hapa DUNIANI
alifika kila pembe ya DUNIA
kumtafuta MUNGU
alifika mpk katika SAYARI zingine kuonana na VIUMBE walopata kuishi kabla ya ADAM
😂 Weka pdf humu tunaopenda kusoma tusome hizo simulizi
 
Kwa hiyo Yesu alimsaidia mama yake apate mimba yake mwenyewe?
Yaan maana yake Yesu alimtia mama yake mimba maana yeye si ndio Mungu au imekaaje hii ifafanuliwe?

Alafu Yesu alikua anaita sana Baba alipokua mdogo wakiwa sokono akapotelea hekaluni wakamsaka alipopatikana akaanza kung'aka "hamkujua ilinipasa kua kwenye nyumba ya Baba yangu?!"

Kwa hio Yesu ndio Baba au imekaaje hii? Yesu kafanikisha utiwaji mimba wa mama yake ili azaliwe Mungu anazaliwa? Mungu ana mama? Ukisikia wapi? Mungu anachalazwa mijeredi? Ulisikia wapi? Hivi ndio yule alietenganisha Bahari ya Shamu au mwingine? Hivi ndio yule Mungu aliewaokoa Meshack, Shedrack na Abednego kwenye shimo la Moto? Hivi ni yule Mungu aliemuokoa Daniel kwenye zizi la Simba? Mungu anatundikwa uchi msalabani km mjusi au panya msumbufu sio na kichupi bali ni uchi uchi uchiii km alivyozaliwa? Ulisikia wapi? Mkanganyiko mkubwa huu
 
Yaan maana yake Yesu alimtia mama yake mimba maana yeye si ndio Mungu au imekaaje hii ifafanuliwe?
Kwa hiyo mungu alikamatwa na wanadamu wakamtemea mate na kumsulubisha.... Asee haya mambo hayahitaji elimu kubwa kutofautisha
 
Wewe huna uwezo wa kuelewa a simple logical argument kwa hivyo sioni faida kujadiliana nawe.

Unapenda kujadiliana lakini huwezi.

Nakuelezea a simple flow of logical propositions na conclusion lakini huelewi.

1. Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hana uchoyo, anagawa mazuri na hagawi mabaya.

2. Mtu kukosa akili ni kitu kibaya.

3. Mungu huyo hataumba ulimwengu unaoruhusu mtu kukosa akili.

4. Hivyo, tukiona mtu amekosa akili, hilo linamaanisha Mungu huyo hayupo.

5. Tunaona watu wamekisa akili.

6. Hivyo, Mungu huyo hayupo.

Sasa hapo kipi kigumu kuelewa?

Tatizo linalo kusumbua uwezo mdogo wa kuelewa hayo mambo ya simple logical urguemnt, logical proposition and so and so, yanini?
mimi nilikutaka UTHIBITISHE kama unazo akili wewe ukajibu kuwa HUNA AKILI na ikawa ndio hoja yako ya kumkana Mungu. Na kudai kama angekuwepo ungekua na akili
Kwahiyo ukashindwa kuthibitisha. labada nilikupeleka ktk upeo wa juju sana ukawa ni mzito kuelewa hebu tuone dai lako
Unadai Wanao dai kuwepo kwa MUNGU MWENYE ENZI WATHIBITISHE
dai hilo halitakua na tofauti na dai langu kwako kua NAWE UNITHIBITISHIE KAMA HUNA AKILI ILI NAMI NIKUTHITISHIE KUWEPO WA MUNGU

SIMPLE LOGICAL.
 
Ta
Mathayo 3:16, 17 inakuumbua, inawezekana vip mungu huyo ajisemee mwenyewe huyu ni mwanangu mpendwa kwanini asengesema Mimi mungu wenu mpendwa nipokeeni.....?!!
Tatizo lako hujui kwamba!; Huyu Yesu ni MUNGU KAMILI NA NI MWANADAMU KAMILI!
Sasa unahoji Yesu Akiwa ktk Hali yake ya Ubinadamu KAMILI!

Ref!; John.1:1-3 than John.1:14
 
Ta

Tatizo lako hujui kwamba!; Huyu Yesu ni MUNGU KAMILI NA NI MWANADAMU KAMILI!
Sasa unahoji Yesu Akiwa ktk Hali yake ya Ubinadamu KAMILI!

Ref!; John.1:1-3 than John.1:14
Kwa hiyo biblia ni fumbo, haieleweki? Yani ww unaijua kuliko alieiandika? Imetosha boss
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Kiukweli watu wanaisema Mungu yupo ndio wana kiburi.

Wamejiwekea kiburi cha kusema wanajua chanzo cha ulimwengu, na chanzo hicho ni huyo Mungu wao.

Sisi tunaobisha ni watu wanyenyekevu sana.

Tunajua ulimwengu ni mgumu sana kuuelewa, tumejishusha kwa unyenyekevu tukisema kwamba ulimwengu huu maswali yake ni makubwa sana, na hili jibu jepesi la Mungu ni kiburi, tena cha kijinga.

Unyenyekevu wetu unatutaka tukubali hatujui majibu, tufanye uchunguzi kujua majubu zaidi kuhusu chanzi cha ulimwengu, maisha na kika kitu.

Kwa hivyo, you have it backwards.

Watu wanaosema wao wanamjua Mungu ndiyo wenye kiburi.

Sisi tunaohoji hii imani na kutafuta majibu ya kina ni wanyenyekevu sana, tunajua ulimwengu una maswali magumu yasiyotaka kukurupuka kwa kutoa majibu ya kiimani ambayo hayapi kwenye research.
Nikutibitishie ww nani??
Umejitengeneza mwenyewe?? Au sio dogo!
 
Kwa hiyo mungu alikamatwa na wanadamu wakamtemea mate na kumsulubisha.... Asee haya mambo hayahitaji elimu kubwa kutofautisha
Yaani panahitajika akili kubwa sio akili ya upigaji kuelewa hili jambo, wakamtundika uchi mchana kweupe Mungu kasulibiwa na wanadamu, Mungu alimwezesha Daudi kumuua Goliath alimwezesha Samson kuwamaliza wafiristi kwa mkono wake ashindwe kuwafyeka mafarisayo na masadukayo, Mungu anakufa kifo cha aibu, ulisikia wapi Mungu anakufa?
 
Wana wa Israel, sorry Israel ni nani? Yakobo?


Chanzo Yesu kuitwa Mungu,

Waisrael hawajakisahau kilichowapa kule jangwani walipitishi nyoka wenye sumu kali na Mungu alitaka awafyeke wote wasiomuamini, kwa hio Mungu ni Yesu? Yule aliewashughulikia waisreal jangwani miaka 40 ni Yesu? Ndio maana wakagoma wakaona wabaki na Torah yao tu, wasijisumbua na wakina Paulo
Kwa Sasa hapa duniani Kuna Yesu wawili Yesu fake ambae ni garasa halijawahi kuwepo na Yesu original

YESU ORIGINAL

Mathayo 2:6 (KJV)
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.

Mathayo 15:24 (KJV)
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

Quran 61:6
Na Isa bin Mariamu alipo sema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninaye thibitisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati,

Hao ni manabii 3 wa Mungu wote kauri zao zinaringana kuwa Yesu ametumwa na Mungu kwa ajili ya wana wa Israel

YESU FAKE

Tito 2:13 (KJV)
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;


Kwa bahati mbaya mliyonayo wakristo mnafuata mafundisho ya Yesu fake ni garasa ambalo halijawahi kuwepo hapa duniani Paulo amekuingizeni chaka
 
Nasikitika sana kuona mtu anatetea fundisho la Utatu jambo ambalo ndani ya biblia halipo.

Upo ushahidi mwingi wa maandiko unaotofautisha Mungu, Yesu Kristo na Roho Takatifu ambayo waamini wa Utatu wanaita Roho Mtakatifu kama vile ni mtu. Je, Mungu anaonekana? Yesu alionekana, hakuna aliemuona Mungu hata Musa mwenyewe.

~ Andiko la Yoh 17:3 lina maana gani? Ikiwa Yesu ni Mungu?

~ Methali 8:30 ina maanisha nini?

~ Mwanzo 1:26 Mungu alikuwa akizungumza na nani?

Ningependa kupata majibu ya maandiko, jibu hoja kwa andiko ili tuamini unachosema. Maandiko yapo mengi sana yanayo tifautisha Mungu, Yesu na roho/nguvu ya Mungu ya utendaji.
Haya mambo hayapo kwa akili za kibinadamu... Ndo maana hata Jina Yesu kwa kiingereza ni Jesus.. Lakini Imani yako ndo itafanya mapepo yatoke hata ukimuita kwa kiluga chenu.. [emoji23][emoji23]

Sasa kama unataka kufananisha haya mambo na zile laws za Newton utajikuta unaanza kuchanganyikiwa hivi..
yoh%205.jpg
 
Back
Top Bottom