Funga mwaka: Ukweli usemwe kuhusu mambo matatu yaliyomshinda Hayati Magufuli

Funga mwaka: Ukweli usemwe kuhusu mambo matatu yaliyomshinda Hayati Magufuli

1. Magufuli ndiye rais mnafiki kuliki wote kuwahi kutokea Tanzania. Tena afadhali wenzake walijua kufanya unafiki kijanja, yeye alifanya unafiki kijinga. Alivunja katiba aliyoapa kuitetea, waziwazi.

2. Kashirikiana na mabeberu kajibaraguza kuwabana kwenye makenika, watu wakapiga hedabu za kila mtu kupata Noah yake, kumbe mwishoni akapozwa kama mtoto mdogo.

3. Hakuna rais aliyeeahi kuruhusu ndoa za jinsia moja Tanzania. Na Makinda alivyowasakama mashiga, Waziri wa Serikali ya Tanzania Dr. Mahiga alimuimbea msamaha bila Magufuli kukataza hilo.
Uzushi na uongo hujionyesha hata kama hupendi. Kama unakataa angalia vizuri maandishi yako utaamini ninachokisema.

Hivyo jifunze kuandika kwanza halafu mengine yaendelee.
 
Uzushi na uongo hujionyesha hata kama hupendi. Kama unakataa angalia vizuri maandishi yako utaamini ninachokisema.

Hivyo jifunze kuandika kwanza halafu mengine yaendelee.
Mkuu,

Nimekurekebishiabherufi. The app/ phone cannot keep up with my typing speed.Asante sana kwa taarifa.

Turudi kwenye hoja. Bishia hoja kwa hoja, achana na mahaba.

Hapo sijafika kwenye Koroshow Magufuli alipoangusha mauzo na bei ya Korosho ya Tanzania vibaya sana ndani ya mwaka mmoja tu.

Magufuli was a country bumpkin.

Jibu hoja kwa hoja, acha kulialia.
 
Umesahau na legacy nyingine hii hapa mkuu
Vile mwendakuzimu amefurahia post yako hii kutokea huko kuzimu😁😁😁
downloadfile-4(1).jpg
 
Huyo Baba apumzishwe jamani... KAAAHH! kisa aliwazibia mirija yenu ya kula pesa rahisi rahisi na za bure au?!
Alioua ndugu zao, aliopora mali zao, aliowatesa kupitia kikundi chake cha wasiojulikana, aliofilisi biashara zao na wengine wengi waliopata madhila mbalimbali kupitia utawala wake wa kiimla ndio ambao hawatampumzisha.
Jews mpaka leo hawampumzishi Hitler, hii husaidia awareness ili aina hiyo ya mtu akitokea awahiwe kabla 'hajaota mapembe' akaleta madhara makubwa kama waliyoyaleta akina Hitler, Magu and the likes.
 
Ongezea
1.alishindwa kuzuia chuki yake ya wazi kwa watanzania wanaoshabikia vyama vya upinzani
2. Alishindwa kabisa kuvumilia harakati za vyama vya upinzania hadi akaamua wengine wapigwe risasi
3. Alishindwa kabisa kuvumilia ukosoaji wowote ule kutoka kwenye vyama vya siasa au mtu yeyote yule
4. Alishindwa kabisa kuficha roho yake mbaya na chuki kwa mtu anaemchukia.
5.
6.
7.

Wataendelea wengine mambo ni mengi kwa yule mzee..
 
Kiburi na dharau dhidi ya wazee wake wa Chato ni moja ya vitu vilivyomuangusha sana .

Wakati mmoja akiwa na ziara jimboni Chato , Wazee walimuomba awawekee lami kwenye barabara yao , wakati huo alikuwa waziri wa ujenzi , lakini pia alikuwa mbunge wao , Magufuli aliwashambulia wazi wazi wazee wale kwamba yeye siyo Waziri wa Chato bali ni waziri wa Tanzania nzima , hivyo hawezi kuwapendelea wao ili wapate lami , na kwamba KAMA WANATAKA LAMI WANYE MAVI YAO WAYASILIBE BARABARANI IWE LAMI .

Watu wote walishangazwa na kauli ile na hiyo ni moja ya kauli iliyomfanya achukiwe kwao , huyu mahusiano yake na wananchi yalirejea baada ya kuteuliwa kugombea Urais baaasi , hakuwa na ushawishi wowote kabla ya hapo
 
Walimwita kiheshima tu mkuu, kwani ndo kazi aliyoipenda zaidi hapo kabla hata ya kujiunga na siasa.
Hata mchezaji au mwanajeshi ana haki ya kuitwa hivyo kwa heshima, obviously hauwezi kuthibisha kuwa ni Mwalimu Nyerere pekee ndiyo alipenda kazi ya ualimu hivyo alistahili kuitwa Mwalimu.
Je George Weah hakukenda kuwa mcheza mpira hivyo hastahili kuitwa mchezaji baada kustaafu au Jakata hakuipenda kazi yake ya jeshi?
Hebu weka proofs zako kwenye hilo.
 
George Weah mchezaji na akawa raisi wa Liberia.
Point of correction: Mchezaji anaweza kuwa raisi.
Hili nishalitolea ufafanuzi kwenye post namb #97
Ukiisoma utaelewa mkuu.
 
Huyu sio "football player" bali ni former "football player" (legend)

Ni mfano leo katiba yetu hairuhusu mwanajeshi au askari polisi kuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Ili huyo mwanajeshi au askari polisi achaguliwe kuwa raisi, ni lazima kwanza aachane na kazi yake ya jeshi afu ndo achaguliwe kuwa raisi na mungine aachane kwanza na upolisi kisha ndo achaguliwe kuwa raisi wa nchi.

Kikwete aliacha kuendelea na kazi yake ya jeshi akajiunga na siasa mpaka alipochaguliwa kuwa raisi wa Tanzania. Laiti angeendelea kuwa mwanajeshi basi asingekuwa na sifa (kikatiba) za kuchaguliwa kuwa raisi wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom