Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Marehemu aachwi akapumzika kwa amani.Marehemu on fleek
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marehemu aachwi akapumzika kwa amani.Marehemu on fleek
Mkuu mlamba asali ana lipi la kutuambia? Mbona alienda kulamba asali kimya kimya na akaondoka kimya kimya bila kuwashirikisha wenzake na kuwajuza chawa wake?... Lugha iligoma kabisa kabisa!
... Ukatili uligoma kabisa.
... Majivuno, kiburi, dharau vilitia makao.
Ujinga ni mzigo walituasa wahenga.
Kalemani anahangaika sana. Pole, nchi hii leo ina furaha na amani.Habari zenu wana JF wenzangu.
Hapo chini ni mambo 10 yaliomshinda raisi Magufuli enzi za uhai wake.
1) Alishindwa kuwa mnafiki
2) Alishindwa kushirikiana na mabeberu walioinyonya nchi yetu
3) Alishindwa kuwasujudia wazungu waliojifanya kutupa misaada mbali mbali ili aruhusu ndoa za jinsia moja nk.
Nimalizie kwa kumpongeza mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe kwa kumtembelea raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia S Hassan kwa mara ya tatu mfululizo kwa lengo la kulamba asali kimya kimya [emoji219] huku chawa wake wakipambana kumtetea mitandaoni.
Ndugu mwana JF tambua kwamba ulambaji wa asali ni mzuri kwa afya yako [emoji23][emoji1787][emoji1787]
DJ akisikia hamu ya asali tu anaenda magogoni alambe kidogo ndio maana Lissu na Lema wameshtuka wanataka walambe woteHabari zenu wana JF wenzangu.
Hapo chini ni mambo 10 yaliomshinda raisi Magufuli enzi za uhai wake.
1) Alishindwa kuwa mnafiki
2) Alishindwa kushirikiana na mabeberu walioinyonya nchi yetu
3) Alishindwa kuwasujudia wazungu waliojifanya kutupa misaada mbali mbali ili aruhusu ndoa za jinsia moja nk.
Nimalizie kwa kumpongeza mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe kwa kumtembelea raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia S Hassan kwa mara ya tatu mfululizo kwa lengo la kulamba asali kimya kimya 🐝 huku chawa wake wakipambana kumtetea mitandaoni.
Ndugu mwana JF tambua kwamba ulambaji wa asali ni mzuri kwa afya yako 😂🤣🤣
Na kweli tunafanya siasa. Si unaona mwenyekiti amekwenda peke yake kulamba asali bila hata kumshirikisha katibu mkuu wake. Maana hataki watu wajue kama ni mtu wa system.Bado hamuamini kama alikufa. Hakuna namna ni kuendelea na taratibu zilizopo tufanyeje sasa!
Hakika amani ipo kwa mwenyekiti kulamba asali peke yake bila kumshirikisha mtu yeyote wa chama chake. Hii inamaanisha kwamba ule msemo wa jamaa kuwa ni mtu wa system una ukweli wa 100%.Kalemani anahangaika sana. Pole, nchi hii leo ina furaha na amani.
Wale sio watu wa system ndo maana ni ngumu kwenda nao kulamba asali.DJ akisikia hamu ya asali tu anaenda magogoni alambe kidogo ndio maana Lissu na Lema wameshtuka wanataka walambe wote
Alishindwa kuwa na Makamu wa Rais wanayeendana mitazamo.Habari zenu wana JF wenzangu.
Hapo chini ni mambo 10 yaliomshinda raisi Magufuli enzi za uhai wake.
1) Alishindwa kuwa mnafiki
2) Alishindwa kushirikiana na mabeberu walioinyonya nchi yetu
3) Alishindwa kuwasujudia wazungu waliojifanya kutupa misaada mbali mbali ili aruhusu ndoa za jinsia moja nk.
Nimalizie kwa kumpongeza mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe kwa kumtembelea raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia S Hassan kwa mara ya tatu mfululizo kwa lengo la kulamba asali kimya kimya [emoji219] huku chawa wake wakipambana kumtetea mitandaoni.
Ndugu mwana JF tambua kwamba ulambaji wa asali ni mzuri kwa afya yako [emoji23][emoji1787][emoji1787]
Kwanini unakimbilia ku comment kabla ya kusoma uzi ?Huyo Baba apumzishwe jamani... KAAAHH! kisa aliwazibia mirija yenu ya kula pesa rahisi rahisi na za bure au?!
Afadhali na wewe umetusaidia kumuuliza huyo mwanamihemko.Kwanini unakimbilia ku comment kabla ya kusoma uzi ?
Mitazamo ipi, hii ya kumwita mwana system ikulu akalambe asali ili aendelee kukiangamiza chama chake mwenyewe cha upinzani sababu ya njaa zake?Alishindwa kuwa na Makamu wa Rais wanayeendana mitazamo.
George Weah kule LIBERIA ni nani?Tofautisha neno "raisi" na "mchezaji".
Mchezaji hawezi kuwa raisi, ila raisi anaweza kuwa mchezaji.
Sio mchezaji bali alikuwa mchezaji.George Weah kule LIBERIA ni nani?
Kwa mfano leo huwezi kusema kuwa Kikwete ni mwanajeshi japo aliwahi kuwa mwanajeshi.George Weah kule LIBERIA ni nani?
Mbona Nyerere ameitwa Mwalimu mpaka umauti wake na mpaka sasa bado anaitwa mwalimu?Kwa mfano leo huwezi kusema kuwa Kikwete ni mwanajeshi japo aliwahi kuwa mwanajeshi.
Au hauwezi kusema kuwa serikali ya awamu ya nne ilikuwa inaongozwa na mwanajeshi eti kisa anaeongoza aliwahi kuwa mwanajeshi. Kikwete alikiwa mwanajeshi akatoka kwenye jeshi na kuingia kwenye siasa na baadae kuchaguliwa kuwa raisi kama mwanasiasa na sio kama mwanajeshi.
Nadhani umenielewa vizuri.
A hero of Sukuma gang and ccm.Then he's a hero!.
Walimwita kiheshima tu mkuu, kwani ndo kazi aliyoipenda zaidi hapo kabla hata ya kujiunga na siasa.Mbona Nyerere ameitwa Mwalimu mpaka umauti wake na mpaka sasa bado anaitwa mwalimu?
😂😂😂Kwa kulipa kwa njia mikopo
Hii thread yako ni kama vile umerusha jiwa moja likauwa ndege wawili. Wapo wanamjadili mwenda ikulu sijui kulamba asali na wanamjadili hayati Magu 😂😂Habari zenu wana JF wenzangu.
Hapo chini ni mambo 10 yaliomshinda raisi Magufuli enzi za uhai wake.
1) Alishindwa kuwa mnafiki
2) Alishindwa kushirikiana na mabeberu walioinyonya nchi yetu
3) Alishindwa kuwasujudia wazungu waliojifanya kutupa misaada mbali mbali ili aruhusu ndoa za jinsia moja nk.
Nimalizie kwa kumpongeza mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe kwa kumtembelea raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia S Hassan kwa mara ya tatu mfululizo kwa lengo la kulamba asali kimya kimya 🐝 huku chawa wake wakipambana kumtetea mitandaoni.
Ndugu mwana JF tambua kwamba ulambaji wa asali ni mzuri kwa afya yako 😂🤣🤣