Hakuna wakati wowote ule ambapo mashoga wamekubalika Tanzania. Jamii yote inapinga.Kuhusu Ushoga wote ccm tyrans walimakana Makonda.
Makonda alijua atapata back up akaamua kukaa kimya na yeye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wakati wowote ule ambapo mashoga wamekubalika Tanzania. Jamii yote inapinga.Kuhusu Ushoga wote ccm tyrans walimakana Makonda.
Makonda alijua atapata back up akaamua kukaa kimya na yeye.
Mbona walimgeuka Makonda badala ya kumuunga mkono vita dhidi ya mashoga?Hakuna wakati wowote ule ambapo mashoga wamekubalika Tanzania. Jamii yote inapinga.
HahahahaMtoa mada anastress za kutokubaliwa maombi yake na Mungu,....maombi ya kutamani mama ashindwe!
Nani alishindwa kutoa ajira.. chuma kilichopambana na mabeberu au huyo mlamba asali wa picha ya chini?-pia alishindwa kutoa ajira
Unamzungumzia nani.. aliepambana na wanyonyaji wa nchi yetu au huyo alieenda leo kulamba asali kwa mara ya tatu?Alishindwa kuweka misingi mizuri kwa wafanya biashara
Tumwache nani mlamba asali wa picha ya chini au yule aliekuwa kiboko wa mabeberu?Si tumeshakubaliana tumwache apumzike?
Huna akili ? Mbona unaficha uporaji aliofanya Magufuli kwa Wafanyabiashara Wazalendo ?Habari zenu wana JF wenzangu.
Hapo chini ni mambo 10 yaliomshinda raisi Magufuli enzi za uhai wake.
1) Alishindwa kuwa mnafiki
2) Alishindwa kushirikiana na mabeberu walioinyonya nchi yetu
3) Alishindwa kuwasujudia wazungu waliojifanya kutupa misaada mbali mbali ili aruhusu ndoa za jinsia moja nk.
Nimalizie kwa kumpongeza mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe kwa kumtembelea raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia S Hassan kwa mara ya tatu mfululizo kwa lengo la kulamba asali kimya kimya [emoji219]
Ndugu mwana JF tambua kwamba ulambaji wa asali ni mzuri kwa afya yako [emoji23][emoji1787][emoji1787]
Hivi ulimwambia mwamba kama shetani hana rafiki au umehofi kumwambia ili usipoteze kibarua chako? Maana hii inakuwa mara ya tatu sasa anakwenda kulamba asali bila kujali comment yako uliyoandika kipindi kile alichokwenda mara ya pili.Huna akili ? Mbona unaficha uporaji aliofanya Magufuli kwa Wafanyabiashara Wazalendo ?
Mlamba asali hapo chini pichan bila shaka anajua maana wao ndio walianza kutoa taarifa kabla serikali haijatangaza kifo chake.Mtuambie pia walimfanya nini Rais wetu
Katiba mpya itakimbiza nyie vikaragosi wote , ni kweli Shetani hana rafiki , lakini chadema haina urafiki na shetaniHivi ulimwambia mwamba kama shetani hana rafiki au umehofi kumwambia ili usipoteze kibarua chako? Maana hii inakuwa mara ya tatu sasa anakwenda kulamba asali bila kujali comment yako uliyoandika kipindi kile alichokwenda mara ya pili.
🚮Habari zenu wana JF wenzangu.
Hapo chini ni mambo 10 yaliomshinda raisi Magufuli enzi za uhai wake.
1) Alishindwa kuwa mnafiki
2) Alishindwa kushirikiana na mabeberu walioinyonya nchi yetu
3) Alishindwa kuwasujudia wazungu waliojifanya kutupa misaada mbali mbali ili aruhusu ndoa za jinsia moja nk.
Nimalizie kwa kumpongeza mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe kwa kumtembelea raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia S Hassan kwa mara ya tatu mfululizo kwa lengo la kulamba asali kimya kimya 🐝
Ndugu mwana JF tambua kwamba ulambaji wa asali ni mzuri kwa afya yako 😂🤣🤣
Alishindwa kuwasujudia wastaafu wanafikiHabari zenu wana JF wenzangu.
Hapo chini ni mambo 10 yaliomshinda raisi Magufuli enzi za uhai wake.
1) Alishindwa kuwa mnafiki
2) Alishindwa kushirikiana na mabeberu walioinyonya nchi yetu
3) Alishindwa kuwasujudia wazungu waliojifanya kutupa misaada mbali mbali ili aruhusu ndoa za jinsia moja nk.
Pia alishindwa kuwapeleka mbele ya Sheria wale wote aliokuwa akiwananga kila mara kuwa wamesababisha Nchi kuchezewa sana kwa mikataba mibovu waliyoingia na mabeberu !! Na hapo ndipo alipobugi stepu !!-pia alishindwa kutoa ajira
WIVU WIVU WIVU UTAKUFA BILA KUGUSA KUTA ZA IKULUHabari zenu wana JF wenzangu.
Hapo chini ni mambo 10 yaliomshinda raisi Magufuli enzi za uhai wake.
1) Alishindwa kuwa mnafiki
2) Alishindwa kushirikiana na mabeberu walioinyonya nchi yetu
3) Alishindwa kuwasujudia wazungu waliojifanya kutupa misaada mbali mbali ili aruhusu ndoa za jinsia moja nk.
Nimalizie kwa kumpongeza mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe kwa kumtembelea raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia S Hassan kwa mara ya tatu mfululizo kwa lengo la kulamba asali kimya kimya [emoji219]
Ndugu mwana JF tambua kwamba ulambaji wa asali ni mzuri kwa afya yako [emoji23][emoji1787][emoji1787]