Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #41
Kumbuka jamaa alisema kuwa huu ndio mwaka wake wa mwisho siasani.Katiba mpya itakimbiza nyie vikaragosi wote , ni kweli Shetani hana rafiki , lakini chadema haina urafiki na shetani
Sasa ujiandae kutafuta kibarua kingine cha kukupa ugali wako wa siku. Maana huenda mwenyekiti ajae hatokuwa na pesa za kuwalipa chawa wote wa mitandaoni.