Funga mwaka: Ukweli usemwe kuhusu mambo matatu yaliyomshinda Hayati Magufuli

Funga mwaka: Ukweli usemwe kuhusu mambo matatu yaliyomshinda Hayati Magufuli

Attachments

  • images (39).jpeg
    images (39).jpeg
    24 KB · Views: 3

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    27.8 KB · Views: 3
  • download.jpeg
    download.jpeg
    10.7 KB · Views: 4
Tatizo alikuwa mwongo alafu hao mabeberu ni kina nani hasa ????
 
Wafanyabiashara wakwepa kodi?
Sio wote waliokwepa kodi kwani wale waliokua wakifuatwa na kuambiwa watoe hela walikwepa kodi na tra wanafanya nn kama walikwepa kodi ukandamizaji tu ndio uliendelea.

Basi tu marehemu hasemewi vibaya ila magu kuna upande alikua anatesa watu kipumbavu sana alaf unakuta jitu linatetea kwakua halikua na biashara wala chochote kula kwa shemeji ndo kama ww
 
Hiyo siyo uthibitisho wa Tanzania kama taifa na jamii yote kukubali ushoga.
Kangi Lugola siyo Tanzania, vivyo hivyo CCM na serikali.
Tanzania ni wananchi kwa ujumla wao, na wana haki ya kuondoa serikali wakati wowote na nchi ikabaki salama.
Ni muhimu kutofautisha nchi/taifa, chama na serikali.
Kwa ujumla wake, watanzania hawakubali ushoga.
Jambo lolote lililokubalika rasmi kitaifa hutungiwa sheria.
Hakuna sheria inayotambua na kuruhusu ushoga.
Kelele za wanasiasa ilikuwa kujtafutia umaarufu tu.
Huko CCM ushoga unakubalika sana
 
Akili fupi sana hata kuandika nishida kwako.
Nyie ndio vyeti feki wenyewe.

Ukiona mtu anashindwa kunyoosha sentence zake vizuri kama wewe ujue ni standard seven failure.
Kwa sababu umetaka ligi ya lugha, twende kwenye ligi ya lugha.

Wewe usiyejua kuandika "ni shida" unaandika "nishida", ndiye wa kunirekebisha lugha mimi?

Wewe usiyejua kuandika "sentensi" Kiswahili, unaandika "sentence" ndiye wa kunirekebisha mimi Kiswahili?

Wewe unayepima elimu kwa madarasa ndiye unajiona una akili?

Wewe guluguja tu, unajibinuabinua umeshindwa kujibu hoja unamshambulia mtoa hoja.

Typical ad hominem attack from a pompous nincompoop.
 
Ndugu mwana JF tambua kwamba ulambaji wa asali ni mzuri kwa afya yako [emoji23][emoji1787][emoji1787]


Mwisho wa kunukuu.
Ndio maana mwenyekiti anakwenda kulamba mara kwa mara ili kuendelea kuijenga afya yake.
 
Habari zenu wana JF wenzangu.
Hapo chini ni mambo 10 yaliomshinda raisi Magufuli enzi za uhai wake.

1) Alishindwa kuwa mnafiki
2) Alishindwa kushirikiana na mabeberu walioinyonya nchi yetu
3) Alishindwa kuwasujudia wazungu waliojifanya kutupa misaada mbali mbali ili aruhusu ndoa za jinsia moja nk.

Nimalizie kwa kumpongeza mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe kwa kumtembelea raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia S Hassan kwa mara ya tatu mfululizo kwa lengo la kulamba asali kimya kimya 🐝 huku chawa wake wakipambana kumtetea mitandaoni.

Ndugu mwana JF tambua kwamba ulambaji wa asali ni mzuri kwa afya yako 😂🤣🤣
... Lugha iligoma kabisa kabisa!
... Ukatili uligoma kabisa.
... Majivuno, kiburi, dharau vilitia makao.
Ujinga ni mzigo walituasa wahenga.
 
Back
Top Bottom